Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Kuyaweza sasa..!!Ni maisha poa sana kwa mtu asiyetaka mahusiano.ukimaliza game off you go..off I goπ§ββοΈπ§ββοΈππΎππΎ
DahNi maisha poa sana kwa mtu asiyetaka mahusiano.ukimaliza game off you go..off I goπ§ββοΈπ§ββοΈππΎππΎ
SanaaaNipo nae mmoja wa hivyo.. yaani yeye hata ku chat ni kidogo sana, akituma msg moja asubuhi ndio imetoka hiyo mpaka labda usiku tena meseji mbili tatu gudnite. Hana time na mimi, hataki hela, hakuna kuitana sijui baby sijui nini, hakuna cha nimekumiss sijui, kifupi hakuna stori mingi. Hua tu namuuliza "tunaonana lini?" Anajibu "kesho ntakua busy, tufanye jumamosi" imeisha hiyo...! Raha sana...π
Hakuna cha dah kipenzi.bora hiyo njia iko na amani sana kuliko kumpenda mtu kumbe yeye Habari hapati anapenda bange tu
Hakuna cha dah kipenzi.bora hiyo njia iko na amani sana kuliko kumpenda mtu kumbe yeye Habari hapati anapenda bange tu
Unafikiri unapanga kuyaweza baaasiii...huwa inatokeaga unampata wako mmoja inatosha kabisaKuyaweza sasa..!!
ππKweli kabisa
Ni maisha poa sana kwa mtu asiyetaka mahusiano.ukimaliza game off you go..off I go[emoji3344][emoji3344][emoji1476][emoji1476]
Kitaalamu tunaita strategic plan siku ikifika itakuwa kama Yule ambaye ataki kulipa kodi
Yes SirRaha sana, ukimiss unapiga simu
Nipo nae mmoja wa hivyo.. yaani yeye hata ku chat ni kidogo sana, akituma msg moja asubuhi ndio imetoka hiyo mpaka labda usiku tena meseji mbili tatu gudnite. Hana time na mimi, hataki hela, hakuna kuitana sijui baby sijui nini, hakuna cha nimekumiss sijui, kifupi hakuna stori mingi. Hua tu namuuliza "tunaonana lini?" Anajibu "kesho ntakua busy, tufanye jumamosi" imeisha hiyo...! Raha sana...[emoji3]