Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Ndugu zangu mpo hali gani?
Kuna mada hapa acha nishare kwa wajuba. Katika maisha yako au mpaka sasa ulishawai kuwa na mwanamke ambaye tuseme sio demu wako yani hamjawai tongozana hamsumbuani zaidi ya kusalimiana siku moja moja.
Ila anakupa mzigo muda wowote unaotaka ukiomba appointment ya kumiti nae hakukatiliii anakupa game anytime tena anakupa yote uenjoy, anakuheshimu hana wivu na wewe.
Pia hakuombi pesa wala nini yani hajali labda ujiongeze kama nauli mkiachana, hakusumbui hana habar na life yako sijui unamke una mpenzi hana hzo mambo na wewe piq huna habari na maisha yake.
Ulishawai kukutana na mwanamke wa dizaini hii kwa zama hizi??
Kuna mada hapa acha nishare kwa wajuba. Katika maisha yako au mpaka sasa ulishawai kuwa na mwanamke ambaye tuseme sio demu wako yani hamjawai tongozana hamsumbuani zaidi ya kusalimiana siku moja moja.
Ila anakupa mzigo muda wowote unaotaka ukiomba appointment ya kumiti nae hakukatiliii anakupa game anytime tena anakupa yote uenjoy, anakuheshimu hana wivu na wewe.
Pia hakuombi pesa wala nini yani hajali labda ujiongeze kama nauli mkiachana, hakusumbui hana habar na life yako sijui unamke una mpenzi hana hzo mambo na wewe piq huna habari na maisha yake.
Ulishawai kukutana na mwanamke wa dizaini hii kwa zama hizi??