wanaoziniunavyosema wazinifu unamaanisha nini mkuu?
haha mkuu unaelekea wap Uzi unaofata ndiyo huu apa
hahah kwahyo mkuu saiz baada ya mechi kuisha furaha kama yote..to be honestly,nimezini mara mbili tuu (ile serious,mjulubeng na mbunye π achana na za utotoni kibaba baba na kimama mama)tangu nimezaliwa,na zote nilijuta sana aseee.tangu hapo najitahidi sana kuiepuka zinaa until nimeingia kweny ndoa...si mchezo...
π³Bado sipo kwenye ndoa mkuuππππ½hahah kwahyo mkuu saiz baada ya mechi kuisha furaha kama yote..
πππSawa bhnaahahaha mkuu mwandiko wako tu unaonesha...
Natania