Nimesoma na Mickson @k@ Mr.Outfit anavalisha watu maarufu na viongozi wa juuKama umesoma shule moja/darasa moja au dawati moja na mtu maarufu hapa tanzania mtaje,
Dewji aliwajibu nyie mnao sema karithi mali kwa wazazi wake, kweli karithi lakin haziku kama zilivyo sasa yy pia kajua kuziongezaMkuu sijisifii,ila pesa nnayo labda umaarufu tu,Nina nyumba ya 300 ml,cruiser V8 mbili, tractor,scania na fuso,Nina uhakika wa 10 mil per months, maisha yangu ni mazuri japo huwezi linganisha na dewji yule alirithi kwa babu zake
Hivi wewe hatukusoma wote kweli?
St. Peter's Junior Seminary, SPS. MORO
Jamaa nlisoma nae seminary St. Peter's, Moro. Alikua kaka mkuu wetu, ni mwana sana. Nakumbuka katokea parokia ya ukongaDah Shule ya Msingi Ukonga ? Au chuo Ardhi? ni mwanangu sana huyo ,nakaa nae kwa Temba Ukonga.