Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakudanganya kuwa melo alisoma high school?Nursery nilisoma na vee money ... Secondary nikasoma na davido ... Wengi watabisha ... Na high school nilisoma na melo.
Sio Ali kiba kweli uyoNliosoma nao ni watu potential sana kwenye jamii ila hawapendi umaarufu!!
Moshi primary or Kilimanjaro primary
Dah Shule ya Msingi Ukonga ? Au chuo Ardhi? ni mwanangu sana huyo ,nakaa nae kwa Temba Ukonga.
Stori zako ni kwamba umesoma siku nyingi. Ila uandishi ni kama hawa dot-com....how?Nimesoma na jozee kabila enzi hizo akiitwa kabange
pale sangu mbeya.kisa nachokikumbuka kipindi tunarudi mchizi,alishushwa na gari kwa kujifanya much know coz alikuwa anajihamini sanaa.
nika drop naye makerere university .
baada ya harakat kubana nikatimka zangu USA huko nikiwa benchi moja na kina Rihanna .
miaka ya 2001/2 nikasikia mchizi kaukwaa u kuu huko Congo.nikabaki nabung'aa
maisha so pw now nipo zangu Sydney nafundisha hapa Hillsong college
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma na kevoo. Mtangazaji wa skonga. Advance ingawa nlikuwa mbele yake ila most of time nlikuwa nae kwenye mambo mengi tuu.. He is very clever guy.
Sent using Jamii Forums mobile app
sometime,tunatakiwa twende kisasa kiongozi..Stori zako ni kwamba umesoma siku nyingi. Ila uandishi ni kama hawa dot-com....how?