boarding nimesoma kuanzia chuo, kituko na kitu kilichonishangaza ni chuo ni kitu kinaitwa kiu, mwanzoni nilikuwa nakichukua saaana lakini baadae ilikuwa ni refreshment kwa kweli hasa kiu ile isiyo na matusi.
Kituko kingine kilichonishangaza ni puch, hii aisee ilikuwa inatisha enzi zile jamani, maana mtu anaanikwa uovu wake na mtu asiyemjua na mahali ambapo hawezi kuondoa!!!!!!!!!!!
mkuu ata hyo niliisahau!,kuna dem m1 bongebonge 2likua 2namwita sura7,niliruka nae ndebe kwenye pari la tycs nikawa nalipakata toto zmazma,km unavojua masela wakaanza kudc mara oo dem sura7,nxt bash toto nikalilia tmng tena nikalpa madini nikaanza kunja nalo goti on stage!msela m1 aliekua anandc akaja kunibdmbeleza nimpe sub kwa litoto nae alipakate.,nikamtoa nduki fasta then nkaendelea kulipakata2(ikawa kla bash lazma nlimendee 2kunje goti),duuu boardng kuna raha yake wajameni!
Wakuu naomba tukumbushane vituko,mikasa,na mambo mbalimbali uliyokumbana nayo wakati unasoma shule ya sekondari ya bweni(boarding),
Hivi mkuu...pale mazimbu unapakatia toto gani mkuu geezle..ha ha ha ha ha mana hizi mambo ulianza kitambo kumbe.....
hahah mpigamsuli umenikumbusha disko na mawarsaw, ila walikuwa wanakuja wachache .sisi ambao tulikuwa hatuna bond kule girls tulikuwa tunang'aza kwa kweli..
nakumbuka walialikwa na milambo kwenda disco, walikuja kubebwa na mabas ya nbs kam matatu hv ilituuma sana ile waboyzia...
Mie nakumbuka mambo manne
- Nilikua mzee wa kuwahi top layer hasa shule moja pale Tabora noma, yaani msosi ulikua unawekwa wese la hatari mchuzi mwekunduu, nilikua nina kopo moja la mafuta ya KIMBO nikitupia humo mchuzi ule wa jujuu juu nikiumaliza lazima koo liwashe
- Nakumbuka pia nilivyokua natoroka skuli usiku kwenda disko vumbi kitaa daily, yaani tukikutana mchana huwezi jua kama ni mimi aisee, ila napiga msuli ikifika saa 4 tu huyoo naenda kubambia vitoto vya uswazi bila kusahau kuangalia movie zetu zile za kikubwa enzi izo kiingilio SHILING MIA
- O'level nakumbuka nilikua mtu wa msuli sana nimefuga muembe huo hatari yaani kama msukule, second master alikua na kigugumizi yaani akija assemble ni kunizungumzia tu mimi na minywele yangu. Ila nilikua muoga wa mademu balaa, nilivyofika advance niaanza vimichezo vya hapa na pale si nikapata demu kitaa. Nilikua na jamaa yangu mmoja wa PBC(kwa sasa ni muheshimiwa mmoja mkubwa sana na daktari mzuri sana pale MUHIMBILI) alikua mgumu kinoma ila alikua mpenda mademu hajui kutongoza, siku moja tukaenda kwa mganga mitaa fulani nyuma ya shule uswazi kutafuta kizizi cha kuwanasa watoto, Tukapigwa changa la macho na madem hatukupata..Ikabidi tuanze kuzunguka kitaa usiku kununua wale wanaojipanga mitaani..aisee yaani maisha ya shule noma sana
- Nakumbuka pia siku ya kwanza kuingia disko la shule nilikua nimevaa suruali ya kitambaa(jeans style enzi hizo) bila nguo yoyote ndani, Ile kucheza cheza videmu vizuri vizuri vikawa vinazingua bana. Bahati nzuri kuna demu mmoja mbaya mbaya hafu mnenee watu walikua wanamkimbia alikua kaegemea nguzo, nikaon huyu huyu. Nilimbambia aisee kwa hasira zoote nikasahau huku ndani sina hata pichu, mambo si yakaharibika, bahati nzuri kumbe na yeye alikua na stimu zake tu siku nyingi akawa katulia kama hana habari yaani watu walio kuwa pembeni walikua wanacheka kinoma mie sina habari,Tokea siku hiyo hakuna disko nilokosa aiseee ha ha ha
Mie nakumbuka mambo manne
- Nilikua mzee wa kuwahi top layer hasa shule moja pale Tabora noma, yaani msosi ulikua unawekwa wese la hatari mchuzi mwekunduu, nilikua nina kopo moja la mafuta ya KIMBO nikitupia humo mchuzi ule wa jujuu juu nikiumaliza lazima koo liwashe
- Nakumbuka pia nilivyokua natoroka skuli usiku kwenda disko vumbi kitaa daily, yaani tukikutana mchana huwezi jua kama ni mimi aisee, ila napiga msuli ikifika saa 4 tu huyoo naenda kubambia vitoto vya uswazi bila kusahau kuangalia movie zetu zile za kikubwa enzi izo kiingilio SHILING MIA, nikaanza vimichezo vya hapa na pale si nikapata demu kitaa. Nilikua na jamaa yangu mmoja wa PBC(kwa sasa ni muheshimiwa mmoja mkubwa sana na daktari mzuri sana pale MUHIMBILI)
BILA SHAKA, UMESOMA MILAMBO
mim nilikuwa pale kidato cha tano 2010..na lile tukio nalikumbuka vizuri sana...kesho yake vijana wa o level wakaandika barua ya matusi kwenda kwa galz...Mkuu umemaliza mwakagani pale? , ile siku walambo walivyoenda tabora gals kuna waboysia wakavizia mabasi yale wakapiga mawe lile basi
n'gambo disko vumbi mpaka asubuhi, jumamosi royal club,frank man palace ,uhazili siku za graduation nakumbuka nilicheza disco mpaka asubuhi mulemule ndani ya disko kulikuwa na maticha
mim nilikuwa pale kidato cha tano 2010..na lile tukio nalikumbuka vizuri sana...kesho yake vijana wa o level wakaandika barua ya matusi kwenda kwa galz...
Aisee ilikuja kuwa bifu kubwa sana...mpak nahama pale ile bifu ilikuwa haijamalizwa bado...
mim nilikuwa pale kidato cha tano 2010..na lile tukio nalikumbuka vizuri sana...kesho yake vijana wa o level wakaandika barua ya matusi kwenda kwa galz...
aisee ilikuja kuwa bifu kubwa sana...mpak nahama pale ile bifu ilikuwa haijamalizwa bado...
wewe ni noma aisee,duuh na huyo mheshimiwa hawafanyii kitu kibaya huko muhimbili,maana mikasa yenu inaogopesha,ila very interesting mtu wangu,
Jamaa yupo katulia huwezi amini, ni mambo ya ujana tu si unajua tenawewe ni noma aisee,duuh na huyo mheshimiwa hawafanyii kitu kibaya huko muhimbili,maana mikasa yenu inaogopesha,ila very interesting mtu wangu,
Mie nakumbuka mambo manne
- Nilikua mzee wa kuwahi top layer hasa shule moja pale Tabora noma, yaani msosi ulikua unawekwa wese la hatari mchuzi mwekunduu, nilikua nina kopo moja la mafuta ya KIMBO nikitupia humo mchuzi ule wa jujuu juu nikiumaliza lazima koo liwashe
- Nakumbuka pia nilivyokua natoroka skuli usiku kwenda disko vumbi kitaa daily, yaani tukikutana mchana huwezi jua kama ni mimi aisee, ila napiga msuli ikifika saa 4 tu huyoo naenda kubambia vitoto vya uswazi bila kusahau kuangalia movie zetu zile za kikubwa enzi izo kiingilio SHILING MIA, nikaanza vimichezo vya hapa na pale si nikapata demu kitaa. Nilikua na jamaa yangu mmoja wa PBC(kwa sasa ni muheshimiwa mmoja mkubwa sana na daktari mzuri sana pale MUHIMBILI)
BILA SHAKA, UMESOMA MILAMBO
Mie mboyzia aiseeee...ila warambo mlikuwa mnatuweka tumbo joto sana....