Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Nakumbuka nilipokuwa form 2 nilianza kupenda sana majibizano na wenzangu kuhusu siasa, yaani ilitokea napenda sana kukosoa serikali kwa kuwa ndiyo kitu simple sana kuliko kusifia sababu ni kwamba toka tunavyopata uhuru fikra zetu zimejengwa kuwa Wazungu(watawala) ni wanyonyaji na wabaya sana.
Kwangu ilikuwa nyepesi kuorodhesha points kama vile
Matarajio yangu siku moja nitakuja kuwa Mbunge au Waziri ila kwa bahati mbaya ndoto zangu hazijatimia sababu sipo interested na makundi, yaani sipendi muingiliano na watu pia napenda sana kujitenga ila naumia sana ndoto zangu hazijakamilika.
Ushauri wako please, pia upande wako vipi, umetimiza ndoto zako?
Kwangu ilikuwa nyepesi kuorodhesha points kama vile
- Cheap labour
- Land allienation
- Forced labour
- Area for market n.k
Matarajio yangu siku moja nitakuja kuwa Mbunge au Waziri ila kwa bahati mbaya ndoto zangu hazijatimia sababu sipo interested na makundi, yaani sipendi muingiliano na watu pia napenda sana kujitenga ila naumia sana ndoto zangu hazijakamilika.
Ushauri wako please, pia upande wako vipi, umetimiza ndoto zako?