Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ohoooo [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
907b0f11-76eb-4f5b-9387-4ad0843385b4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bff wangu umemvuruga na ndevu hizo 😂😂😂
Sasa hebu ngoja niende barbershop nikazinyooshe, halafu nirudi nyumbani nizioshe na shampoo [Head & Shoulders], conditioner, nizipake na siagi ya ndevu [mafuta ya ndevu].

Halafu baadaye naenda Tips na Wavuvi Kempu kupunga upepo. Karibuni…..mkiona mtu ana ndevu zilizopangika vizuri na zinazong’aa….ndo mimi huyo 😀😀

IMG_5481.jpeg
 
Sijui ni mwanamke au mwanaume huyu kwenye picha na tumiguu twake kama twa dullah makabila au wakuvanga.😀😃😆😄 alafu hiyo nguo aliyovaa ni ya kizamani kweli. Nilimnunuliaga zawadi demu mmoja wa huku Nyakatuntu eti hadi leo zinavaliwa na wanadamu.😄😆😃😀🤣😁😂
Ni kweli ni Tumiguu twa Dullah huto mkuu umejuaje, afu kweli ni kapensi ka zamani, ngoja nimwambie 😀😀
 
Back
Top Bottom