Hahaha huyu ni Mpwayungu Village πππππ€£π€£πNimetupia mtupio huo leoView attachment 2817525
Oya kitu si hiki βοΈπ hapa au ππ₯π₯π₯π₯π₯
Amalize chuo kwanza baada ya hapo tumpatie ahadi ya kazi hewa ,atufungulie uzi wa kutusema humuπAchana naye akaendeleze utoto wake huko MUST ππππ
Dah kumbe wewe ni dada mzuri tu ila unapenda sana utani. Nakufuatiloaga sana kule kwenye uzi wa vituko. Umejitahidi kuunogesha sana ule uzi. Mbona hapa unaonekana upo serious sana.
ππππ Atashusha daily NewsAmalize chuo kwanza baada ya hapo tumpatie ahadi ya kazi hewa ,atufungulie uzi humuπ
Ana midomo ya kikeDah kumbe wewe ni dada mzuri tu ila unapenda sana utani. Nakufuatiloaga sana kule kwenye uzi wa vituko. Umejitahidi kuunogesha sana ule uzi. Mbona hapa unaonekana upo serious sana.
Mamamamaaaaaaaaa ππ₯π₯π₯π₯π₯π₯ imekaaa mwakeHi imekaha poaView attachment 2817374
Sasa hebu ngoja niende barbershop nikazinyooshe, halafu nirudi nyumbani nizioshe na shampoo [Head & Shoulders], conditioner, nizipake na siagi ya ndevu [mafuta ya ndevu].Bff wangu umemvuruga na ndevu hizo πππ
Ni kweli ni Tumiguu twa Dullah huto mkuu umejuaje, afu kweli ni kapensi ka zamani, ngoja nimwambie ππSijui ni mwanamke au mwanaume huyu kwenye picha na tumiguu twake kama twa dullah makabila au wakuvanga.ππππ alafu hiyo nguo aliyovaa ni ya kizamani kweli. Nilimnunuliaga zawadi demu mmoja wa huku Nyakatuntu eti hadi leo zinavaliwa na wanadamu.πππππ€£ππ
Oyaa Mideko mbona kama nilikuona mara sikuoni tena rudia tena bhanaaaaaa πInakera na kuboa sana.
Shauri zako, milioni pesa ya breakfast hio.Thubutuuuu ππππ
We mbona bado katoto sanaβ¦umezaliwa 2007?Kujiachia tu leoo.View attachment 2817541
ππππOyooooo!! ππππ
Jf ina visu awww mideko mzuri bwana π
Shauri zako, milioni pesa ya breakfast hio.Thubutuuuu ππππ