Tulia sasa miluzi mingi utamkimbiza mbwa πEwaaaaah!!! πππ
Namna hiyo! Sa ulikuwa unaogopa nini??
Brother wewe ni genius[emoji23]Unajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza!
Unajua ni kwanini mara nyingi huchagua viwalo? Kupendeza!
Unajua kwanini baadhi yetu hupenda watu watuangalie na kutusifia? Kupendeza!
Hebu tupia ulichovaa leo iwe saa, miwani, wigi, kiatu ama nguo yoyote ile na urembo wowote ule..
Kama huna basi tupia hata cha mtandaoni unachoona aliyevaa kimemtoa kwatu na kupendeza sanaView attachment 2817216
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2817248
Nimemuelewa sana tu aiseeβ¦.Hapo ukifanya masihara mnajikuta kishawaweka[emoji23]
Lakini na ww si umemuelewa?
Tunaijua hiyo, test ya kuosha vyombo na kupika ulisikia wapi ππEeeh, mi sijasema hayo, au unataka pregnancy ?, mi nilisemea testing mfano kupika, kuosha vyombo n.k, au utanipa offer mkuu? niafurahi sana.
Nimetulia miye teeeena!!!Tulia sasa miluzi mingi utamkimbiza mbwa π
Acha tu nimpambanie kadri navyoweza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],unayaweza.
Bado wewe na jamaa wa NYC πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbikumbi watamuu, jana tuliamka kudakaaa, nilikula wabichi wee, sahv walio kaangwa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Wewe kunguru umenichekesha khaaaa!!!!
Tublss basi mama mchungajiBrother wewe ni genius[emoji23]
Asante kwa kutuletea version ingine ya uzi wetu.
Shhh usiseme kwa sauti babeβ¦..wanga wengi humu ππMbona tushamalizana dalali umefanya kazi yako vizuri tupo zetu video call wasap π
Sio huyo nawe πππHuyu si ndio yupo na yule dogo mshamba, au nachanganya?
Cuzoo leo anapata kolombwezo begani, [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona hajatualika tukamvalishe mataji jomooni cazee [emoji23][emoji23][emoji23]
Mxxxxiiiiieeeeew!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Muda kwan hujaona? [emoji23][emoji23][emoji23]
Njema kabisa, naona ulivotokelezea "kiwikendii" [emoji28]Hi firstborn, za siku?
Sana watatuharibia sasa hiviiiShhh usiseme kwa sauti babeβ¦..wanga wengi humu ππ
Nawaogopa πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbikumbi watamuu, jana tuliamka kudakaaa, nilikula wabichi wee, sahv walio kaangwa.
Wee hukuli kwani??
@Kiranga baba tamuu, njoo unichukue unipelekee huko San Diego, maana uduguu ananinyasanyasa.Wewe nawe na kiranga mliishia wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]