Asante sana , moyo wangu uliumia sana lakini MUNGU alinisaidia sanaIla irudishe tu id yako..Be free..yaliyotokea yameshapita.
Usiogope,hakuna aliye msafi.
Maadamu umeomba msamaha basi wewe kwa upande wako umemaliza,hudaiwi...
Atakayekusamehe ni heri,atakayegoma kuachilia basi atajua yeye na Mungu wake.
Nafurahi umerudi tu na kuweka mambo sawa,na ndicho watu walichokuwa wakitegemea ufanye.
Nipe sign ninayoijua Nitakwambia jambo. Kama ni wewe umefanya jambo la busara.Sina access na id yangu na sina mpango wa kuiomba tena . nimeona bora nije niseme nianze 2024 kwa amani .
View: https://youtu.be/my2Nl31nmKY?si=amQcgBb7IdHGe6Xg
Jirani na wewe upo mbali
will text you , yaani niko na mambo mengi
pole sana kwa ukimya
Khaaah😂😂😂😂Ulikosa nini hebu tukumbushe
Namkubali tu huyo mrembo hanaga mbwembwe kama Warembo wengine humu.Na wewe ni team king’ang’a Antonia? Hivi smart alipona ukimwi na gono? [emoji2957]
Lesson Learnt.. maneno hayakupunguzii kilo zako za mchele ulizoweka ndani 😂😂Asante sana , moyo wangu uliumia sana lakini MUNGU alinisaidia sana
sidhani kama nitaweza rudi humu , ninaona siwezi kabisa , maana im so naive , nitakuwa naangalia tu kwa mbali .
You know me right , siwezi kugombana ..Nipe sign ninayoijua Nitakwambia jambo. Kama ni wewe umefanya jambo la busara.
Rudi tuAsante sana , moyo wangu uliumia sana lakini MUNGU alinisaidia sana
sidhani kama nitaweza rudi humu , ninaona siwezi kabisa , maana im so naive , nitakuwa naangalia tu kwa mbali .
If You know what i mean. Do it plsYou know me right , siwezi kugombana ..
kama nisingekuwa mimi , ningekuja labda kufanya ugomvi .
au revenge ..
Ajikaze tuLesson Learnt.. maneno hayakupunguzii kilo zako za mchele ulizoweka ndani 😂😂
NB: TAKE HEART
Thank you beautiful 😍😍Lesson Learnt.. maneno hayakupunguzii kilo zako za mchele ulizoweka ndani 😂😂
NB: TAKE HEART
Asante sana , but siweziRudi tu
Mbona ulikuwepo
Rudi,si umeshaomba msamaha?hofu yako nini?
Jf Kuna mazuri mengi pia,ukitoa hayo mabaya...wote humu tumeshawahi kigombana na watu.
Wewe rudi tu..
Niliona ulipewa mawasiliano ya Melo,Mtafute na atakusaidia kukurudishia access ya id yako.
nimesahau vitu vingiIf You know what i mean. Do it pls
Huo mwandiko ni wakeIf You know what i mean. Do it pls
Ok. How many sisters do you have?nimesahau vitu vingi
uliza wewe
Mtaalamu wa mwandiko, kunywa mtori kwanza😃Huo mwandiko ni wake
yani kuvumilia kusemwa ndo siweziRudi tu
Mbona ulikuwepo
Rudi,si umeshaomba msamaha?hofu yako nini?
Jf Kuna mazuri mengi pia,ukitoa hayo mabaya...wote humu tumeshawahi kigombana na watu.
Wewe rudi tu..
Niliona ulipewa mawasiliano ya Melo,Mtafute na atakusaidia kukurudishia access ya id yako.
2Ok. How many sisters do you have?
Ukisema haya msamaha wako hautakuwa na maana. Forgive and forgetyani kuvumilia kusemwa ndo siwezi
kudharauliwa kisa elfu 30 na kuitwa thirty thousand hivyo hapana
nimejifunza humu people will consider me cheap tu .
Wewe na myself wako mnazingua 😆 unayumbishwa na JF? Huku ukilog out km ulikuwa huna sukari, si inabaki vile vile huna sukari?Asante sana , but siwezi
nitakuwa guest tu siku nikiwa bored ndo naingia
niliongea na Melo eeh
alinisaidia but i promised myself kwa kweli , natunza hiyo ahadi