Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Nimecheka jmn
 
Achana na watu wajinga wasiojielewa, very stupid indeed. Psychopaths ni wengi, wanahitaji tiba, aisee nilikasirika sana siku ile...nikataka kupasua hii tecno wereva yangu.
Kabisa Ankoli

Hivi si mwaka mpya wasabato huwa mnasherehekea eeeh?
Wanunulie akina Uncle keki ya new year?
 
Thanksgiving ni muhimu, ni lazima kushukuru. Utaandaa keki ya bei ya chini kuliko zote🤣🤣🤣
Uzuri wako Ankoli hunaga mbambamba.

Familia imepata baba mwema sana...sema nadhani sitakuwepo mjini kwahiyo mwwee oda ya Ankol inanipita.
 
Achana na watu wajinga wasiojielewa, very stupid indeed. Psychopaths ni wengi, wanahitaji tiba, aisee nilikasirika sana siku ile...nikataka kupasua hii tecno wereva yangu.
Uko serious hii dis ni mm umejibu!? Sema tuelewane old man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…