Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌usiwe mtuwakujali sana utaumia roho bure.
kua kama mwenzako mahonda alimnanga x wake kuwa anagono nakuwananga wakewenza akina dep na linie kuwa wameambukizwa gono lakini sasa hivi amerejea kwahuyohuyo alietuaminisha anagono na hajali chochote wee ninani ujali kitukidogo hicho?
muige mahonda yeyé ni mbwaimbwaituu ugaigai haelewi atakaaje bushi wakati x wa mjini yupo😁amefosi kingi🤣🤣🤣🤣🤣
alichagua tall and dark handsome man jeda hela hana🤣🤣halafu kunakiandunje tuuu kinawachanganya namahela mahonda akaona isiwe kesi kwani kumsaliti mjeda sh ngapi😁
kwahiyo usijali sana mkuu hutafanikiwa kwenyemambo yako kamawenzio
Wii hebu njoo tuloweke Tambi tuleUna nn lkn
😀
Mwana fyale na tambi wap na wapi. Angalia usije tupikia sup ya tambiWii hebu njoo tuloweke Tambi tule
Huu umbea usije kutuua njaa😂
Tumuone mpiga picha pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!
Wizooo ulijuajeWii hebu njoo tuloweke Tambi tule
Huu umbea usije kutuua njaa😂
Hizi tambi ndio ilikuwa Mkombozi wangu bumu likikata🤣Mwana fyale na tambi wap na wapi. Angalia usije tupikia sup ya tambi
Kabisa AnkoliAchana na watu wajinga wasiojielewa, very stupid indeed. Psychopaths ni wengi, wanahitaji tiba, aisee nilikasirika sana siku ile...nikataka kupasua hii tecno wereva yangu.
Thanksgiving ni muhimu, ni lazima kushukuru. Utaandaa keki ya bei ya chini kuliko zote🤣🤣🤣Kabisa Ankoli
Hivi si mwaka mpya wasabato huwa mnasherehekea eeeh?
Wanunulie akina Uncle keki ya new year?
Hizi ni za kuloweka wizo😂Wizooo ulijuaje
Ndo namalizia kupika Tambi hapa
Uzuri wako Ankoli hunaga mbambamba.Thanksgiving ni muhimu, ni lazima kushukuru. Utaandaa keki ya bei ya chini kuliko zote🤣🤣🤣
Uko serious hii dis ni mm umejibu!? Sema tuelewane old manAchana na watu wajinga wasiojielewa, very stupid indeed. Psychopaths ni wengi, wanahitaji tiba, aisee nilikasirika sana siku ile...nikataka kupasua hii tecno wereva yangu.
Hiyo ni dis, mwaga motoUko serious hii dis ni mm umejibu!? Sema tuelewane old man
[emoji23] pole sana.!
Weka picha fifi bae[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Weka picha fifi bae
Weka picha fifi bae
.[emoji126]