Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Marahaba boss mkubwa. Uko poa??Shikamoo boss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marahaba boss mkubwa. Uko poa??Shikamoo boss
Wewe yako iko wapi?Uwekage na kapicha.
Niko poa kabisa bossMarahaba boss mkubwa. Uko poa??
Ebu weka kwanza yako 🏃Niko poa kabisa boss
Umehadimika sana mitaa hii
Ebu tupia uturingishie
Tayari nomeshatupiaEbu weka kwanza yako 🏃
Unataka kumpa wifi zawadi??🙂Naomba hako ka pete Dr.
Mwee mbona sijaona 😞Tayari nomeshatupia
Umeona?
Naaaam😍Tatizo lenu mnachat sana badala ya kutupia mapicha picha ndio maana mnagombana
View attachment 2855550
dyke😅🏃🏾♂️Tatizo lenu mnachat sana badala ya kutupia mapicha picha ndio maana mnagombana
View attachment 2855550
Nimekuona hapa mabanda ya CCM Iringa ukila mbuzi katoliki.Mwee mbona sijaona 😞
🤣 Weee leo mbona sijapita kabisa hapo utakua umenifananisha.Nimekuona hapa mabanda ya CCM Iringa ukila mbuzi katoliki.
Dyke is a rude word, kuna lesbian au queerdyke[emoji28][emoji2097]
unavotuita 'mbwa' badala ya wanaume je😂 ila tuachane nayo....Dyke is a rude word, kuna lesbian au queer
Btw, zimekuja picha mbili au moja?
Sawa shoga😍Nipo Lushoto namalizia mwaka shogaa
Ahsante mama mtumishiSawa shoga😍
Enyoy
Marhabaaa sis 😍!Ccy Antonnia
Nuzulati
Kalpana
Mjep
Intelligent businessman
Glenn
Unique Flower
Na wengine wengi.
Shikamoooni ☺️☺️☺️