Upewe tuzo πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleee wee
Ipo siku nitarudi mazima nyumbani , nishayachoka mahindi ya kuchoma na magimbi mwisho tambi limenitoka halibonyezekiView attachment 2817844
Bff mwenzio me haya ndyo mambo yangu napenda seafood kichizi
Nganiwa ndo nn?Nganiwa unawala??,
πππππ ila hao prawns no π€£View attachment 2817844
Bff mwenzio me haya ndyo mambo yangu napenda seafood kichizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan huyu ananinyima uhuru wallah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora upunguze
π€£π€£π€£π€£ Kamati tunaanzia laki 5 kima cha chiniKwa kupenda pesa weyee, utafia na kuzikwa bank.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji104]View attachment 2817844
Bff mwenzio me haya ndyo mambo yangu napenda seafood kichizi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fungashia na miguu na utumbo.Upewe tuzo [emoji23][emoji23][emoji23]
Huku dar wenzenu tunakula mawig ya kuku
Ni Hao,nilijua unawala, nilitaka nikugawe, na ukungu unaula??Nganiwa ndo nn?
Au unasema Mbuwila? Km ndo hivyo sili.
Hata M nshindwe nyie tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kamati tunaanzia laki 5 kima cha chini
Sao hao ni wadudu Jamani protini kabisa hiyo ππView attachment 2817844
Bff mwenzio me haya ndyo mambo yangu napenda seafood kichizi
Kungu nakulaaa dyadyaa, [emoji23][emoji23][emoji23]Ni Hao,nilijua unawala, nilitaka nikugawe, na ukungu unaula??
Tena hao nakula na ugali au ndizi mzuzu weee tamuuuπππππ ila hao prawns no π€£
NapendaaSao hao ni wadudu Jamani protini kabisa hiyo ππ
Si ndo hapo πππAmebakiza uchebe tu π
Pale stesheni stand yupo ankali mmoja aanawekaga hz seafood yaani nafanyaga kupark kabisa Nile kwanza ndyo niendelee na safariSao hao ni wadudu Jamani protini kabisa hiyo ππ
Kuna mtu aliwapika na mchicha akatia na nazi wee nilimwambia asante πππTena hao nakula na ugali au ndizi mzuzu weee tamuuu
Nilijua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],nilitaka nishangae usiwale[emoji23][emoji23][emoji23],Kungu nakulaaa dyadyaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Tamuu balaaa
Pishi zuri sana hili niliwahi kula kwa buheti nikawa napika hivyo na mie geto watamuuuKuna mtu aliwapika na mchicha akatia na nazi wee nilimwambia asante πππ