Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Sao hao ni wadudu Jamani protini kabisa hiyo πŸ˜‹πŸ˜‹
Pale stesheni stand yupo ankali mmoja aanawekaga hz seafood yaani nafanyaga kupark kabisa Nile kwanza ndyo niendelee na safari
 
Kungu nakulaaa dyadyaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Tamuu balaaa
Nilijua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],nilitaka nishangae usiwale[emoji23][emoji23][emoji23],

Mie sijawahi hata kuonja,
 
Kuna mtu aliwapika na mchicha akatia na nazi wee nilimwambia asante πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Pishi zuri sana hili niliwahi kula kwa buheti nikawa napika hivyo na mie geto watamuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…