Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ila usikubali hao waliokucheka wakakuumiza. Kikubwa huyo ni wewe na unajiamini na kujipenda ndio maana uliweza kujipost. Ukute waliokucheka hata mshipa wa kupost zao hawana .
Mimi kuumia?:3Heading:
Ningeumia nisingetaka hata kuzungumzia hizo picha,
Mimi ni mzuri! kwa wanaonijua humu wakisoma wanacheka moyoni mwao ukweli wanaujua:AmberDollDance:

Asante kwa kujali☺️
 
Ila usikubali hao waliokucheka wakakuumiza. Kikubwa huyo ni wewe na unajiamini na kujipenda ndio maana uliweza kujipost. Ukute waliokucheka hata mshipa wa kupost zao hawana .
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!

Siku zote ukweli ndio huuma kama kitu ni blah blah tu aaaaahhhhhhhh
Unajichekeaaa tu tena kwa dhaaaaaarrraaaaaaauuuuuuuuuuuuuuu!🤭🤭🤭🤭
 
Back
Top Bottom