Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ila usikubali hao waliokucheka wakakuumiza. Kikubwa huyo ni wewe na unajiamini na kujipenda ndio maana uliweza kujipost. Ukute waliokucheka hata mshipa wa kupost zao hawana .
Mimi kuumia?
Ningeumia nisingetaka hata kuzungumzia hizo picha,
Mimi ni mzuri! kwa wanaonijua humu wakisoma wanacheka moyoni mwao ukweli wanaujua

Asante kwa kujali☺️
 
Ila usikubali hao waliokucheka wakakuumiza. Kikubwa huyo ni wewe na unajiamini na kujipenda ndio maana uliweza kujipost. Ukute waliokucheka hata mshipa wa kupost zao hawana .
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!

Siku zote ukweli ndio huuma kama kitu ni blah blah tu aaaaahhhhhhhh
Unajichekeaaa tu tena kwa dhaaaaaarrraaaaaaauuuuuuuuuuuuuuu!🤭🤭🤭🤭
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…