Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

😍😍😍 Nianze kujibu pm zako sasa, huu ndio ugonjwa wangu.!!
Kumbe Manyanza ni muenchamu na husemi?? Awwww πŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°
Tall, dark, handsome na hii nyingine slim ndio yenyewe kabisaa.!!
Pm zako nazijibu 🀣
Niku PM au sio??? πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Wakat kanikimbia Yani mwambie yeye sio wa kunifanyia hivo πŸ˜€
Hajakukimbia yupo karudi jana, leo nilikuwa naye nikamwambia demu wako anakusalimia.
Akauliza nani? Nikamwambia si Aaliyah 😹😹
Acha alalamike kwann namrusha roho halafu nambania kumkutanisha na huyo Aaliyah.!!

Cazee yuko serious anakupenda kweli sema km yupo humu atacheka sana akijua dada yake ni Labella πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…