Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

😊😊
Capture_Snapchat-1441475505_20240714_194420.png
 
😍😍😍 Nianze kujibu pm zako sasa, huu ndio ugonjwa wangu.!!
Kumbe Manyanza ni muenchamu na husemi?? Awwww 🥰🥰🥰
Tall, dark, handsome na hii nyingine slim ndio yenyewe kabisaa.!!
Pm zako nazijibu 🤣
Niku PM au sio??? 😂 😂 😂
 
Wakat kanikimbia Yani mwambie yeye sio wa kunifanyia hivo 😀
Hajakukimbia yupo karudi jana, leo nilikuwa naye nikamwambia demu wako anakusalimia.
Akauliza nani? Nikamwambia si Aaliyah 😹😹
Acha alalamike kwann namrusha roho halafu nambania kumkutanisha na huyo Aaliyah.!!

Cazee yuko serious anakupenda kweli sema km yupo humu atacheka sana akijua dada yake ni Labella 😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom