Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akhiii ile siku niliumbukaaa, kwanza mie nikiona sehemu wamejaa wakaka wengi sipiti au sisogeii hapoo.

Yaana wanakeraa balaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😹😹😹 Ungewatimua wanakaaje ofisini kwa shem kiholela
 
[emoji81][emoji81][emoji81] Ungewatimua wanakaaje ofisini kwa shem kiholela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu nilijizuia ile siku kuropokwa, nlikua kwenye good mood, sikutaka sharii hata.
 
🀣🀣🀣Mm ndo wifiyako og
Mbona kumrusha roho mwenzio my WiiπŸ˜€πŸ˜€
Wew utaki niende south Africa πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…