Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Mimi nipo Bosiledi. Nilikuwa kwenye kamati iliyotoa wazo la kuanzisha Selfika Part II na hata mazindiko yake yote nimeyashuhudia ili uzi usije ukavurugika kama ule uliotangulia.

Nasubiri utie Baraka zako katika hii Selfika mpya. Selfika ya zamani ulitisha sana maana nina folder zima kwenye simu yangu lenye mambo mgongo mgongo, naked...na mengineyo 😁😁😁🖐
 
Nafurahi kukuona tena msukuma!

Mie treinaaahhhh 🕺!

Wanijua venye sinaga mbambambaa🤭!!
Sema sikuhizi sipigi pichaa Jr alichonifanyia kwenye kimeo changu anajua mwenyeweee lol! 😁😁😁
 
Īhaha bayanda mugūzwaga mvī mutalī bado sana. Ūnene nalīnamyaka makūmi mpungatī na kenda alīyo nalī na dūvī dūdo guke nkoyi 😁
Makumi mpungati na kenda! 😅😅😅 Ulenatuja nyanda..
Lekaga wolongo 😅😅
Nalena makumi Atano na mapungati nalehaya kostaafu..!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Jana sir midabwada kachomoa betri, eti aliambiwa atafute mill 100 ndo wakae chini wayajenge [emoji23][emoji23][emoji23]
Antonnia anataka mil 100, na jamaa kakubali kumpa au bado?[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…