Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Mimi nipo Bosiledi. Nilikuwa kwenye kamati iliyotoa wazo la kuanzisha Selfika Part II na hata mazindiko yake yote nimeyashuhudia ili uzi usije ukavurugika kama ule uliotangulia.
Mi ananikosha venye anapita mzima mzima hanaaa mudaaaaa 🤠🤠😁Umetisha sana kumleta my wetu
Antonnia huwa ananifurahisha sana ukimwambia kuna mtu kamuelewa, utaona anasema sheendwaa nitarudia tena mm humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Udugu bado mgeni naye hujamzoea?? [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Nauza visheti pesa natoa wapi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Wamebakia wao tu umemsahau Leejay49 na DepalWaje kutubles asee kitambo sana ! Tena Leo wakija wapite naked kabisa!
Umeanza fujo uduguuu 🤠! mshana kasema wakorofi atawapiga spana!Nauza visheti pesa natoa wapi? 😂😂😂
Sio shida zakeMi ananikosha venye anapita mzima mzima hanaaa mudaaaaa 🤠🤠😁
😂😂😂 Jana sir midabwada kachomoa betri, eti aliambiwa atafute mill 100 ndo wakae chini wayajenge 😂😂😂Antonnia huwa ananifurahisha sana ukimwambia kuna mtu kamuelewa, utaona anasema sheendwaa nitarudia tena mm humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na vikokoto 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe una mvi mpaka kwenye ndevu!!!
Nafurahi kukuona tena msukuma!Mimi nipo Bosiledi. Nilikuwa kwenye kamati iliyotoa wazo la kuanzisha Selfika Part II na hata mazindiko yake yote nimeyashuhudia ili usije ukavurugika kama ule uliotangulia.
Nasubiri utie Baraka zako katika hii Selfika mpya. Selfika ya zamani ulitisha sana maana nina folder zima kwenye simu yangu lenye mambo mgongo mgongo, naked...na mengineyo 😁😁😁🖐
Kwani uongo? We unajua me najishughulisha na nini?? 😂😂😂Umeanza fujo uduguuu 🤠! mshana kasema wakorofi atawapiga spana!
Makumi mpungati na kenda! 😅😅😅 Ulenatuja nyanda..Īhaha bayanda mugūzwaga mvī mutalī bado sana. Ūnene nalīnamyaka makūmi mpungatī na kenda alīyo nalī na dūvī dūdo guke nkoyi 😁
Peleka uzi wa chakula, huku ni picha za binadamu mkuu
[emoji91][emoji91]
Kwakweli! Ngoja aje Tuoshe macho sie!Sio shida zake
Antonnia anataka mil 100, na jamaa kakubali kumpa au bado?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jana sir midabwada kachomoa betri, eti aliambiwa atafute mill 100 ndo wakae chini wayajenge [emoji23][emoji23][emoji23]
Had kucha unafuga dyadya, [emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja nimalize kuimba[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo mi mwenyewe nimepitwa DC labda coca na la mamaa ndio wanaeza toa miongozo ya samaree! [emoji1783]