Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

58087890_1297240630444404_829740591565766656_n.jpg

Hata kama ni tandamu this is too much, noooo!!!
Si ndiyo mnapendaga, sisi wenye flat screen hamtutaki🤔
 
Lamomy mfikishie habari mod anayemvizia wifi yako kuwa nitamkula kichwa[emoji28], naelekea kupanda Abood toka kigoma kufika Dsm.View attachment 2818250
Kaka salamu zimefika na zitafikishwa km zilivyo hajui km unamiliki mguu wa kuku??
Kaka mabegi yote hayo umejaza pesa 🤑🤑

Wifi ndo utulie nipewe pesa uache kucheka na washamba Ms eyes
Nikikosa pesa hizo nakutafuna mbichi mbichi 😂😂😂
 
Kaka salamu zimefika na zitafikishwa km zilivyo hajui km unamiliki mguu wa kuku??
Kaka mabegi yote hayo umejaza pesa 🤑🤑

Wifi ndo utulie nipewe pesa uache kucheka na washamba Ms eyes
Nikikosa pesa hizo nakutafuna mbichi mbichi 😂😂😂
Jembe,shoka na nyundo ziko humo bila kusahau mahindi toka shamba

Mguu wa kuku labda tutatumia wako 😅
 
Kaka salamu zimefika na zitafikishwa km zilivyo hajui km unamiliki mguu wa kuku??
Kaka mabegi yote hayo umejaza pesa [emoji857][emoji857]

Wifi ndo utulie nipewe pesa uache kucheka na washamba Ms eyes
Nikikosa pesa hizo nakutafuna mbichi mbichi [emoji23][emoji23][emoji23]
Yule dogo mshamba ndio basi tena?
 
Back
Top Bottom