Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii sijui hata imeanzia wapi bro, ila hapo pa upole nimecheka kiukweli..!!
Nimetaja dada zangu humu, akasema dada angu mmoja hapo huwa hapendi anavyofanyaga utani huku na wengine. Nikamuuliza ni Carleen?

Huyu ana utani sana, but mzoee tu hana kabisa hizo mambo kwenye real life, utani huisha kuwa utani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…