Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Wii uko wapi mwenzetu?!! Sio kwa good morning hiyo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Au tayari ushaenda kwa bro? Tushakuwa zone tofauti? πŸ˜‚πŸ˜‚
I miss u too sweetie wiwii πŸ₯°πŸ₯°
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Acha tu broo wako anazubaa sana nitamtafutia msaidiz soon tu Ili anizabue makofi vizuri tuchangamke
Penz limepoa sana kama mkojo wa swala πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Acha tu broo wako anazubaa sana nitamtafutia msaidiz soon tu Ili anizabue makofi vizuri tuchangamke
Penz limepoa sana kama mkojo wa swala πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Woiiiiih!! Wii usijaribu!!
Yule mkinga jeuri, atakupiga vitasa hujawahi kukutana navyo!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sikushauri kabisaaaa
 
Baba mtumishi tunaomba uturingishie suit ya kichungaji wanakondoo waone pls kwa heshima yako πŸ˜‚
hapo ni karibia mchungaji kiongozi kuwasili kwenye eneo ya maombi watumishi mbalimbali wakiwa tayari
 

Attachments

  • IMG_20231115_094152.jpg
    IMG_20231115_094152.jpg
    83.9 KB · Views: 8
Back
Top Bottom