Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Wii uko wapi mwenzetu?!! Sio kwa good morning hiyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Au tayari ushaenda kwa bro? Tushakuwa zone tofauti? [emoji23][emoji23]
I miss u too sweetie wiwii [emoji3059][emoji3059]
Watakua wapo wote SWE
 
20231119_203319.jpg

Sio mimi nimetupia tu wakuu, mwenyewe nimekaokota kwa Twitter
 
😂😂😂 Khaaaa!!
Mista Tlaatlaah hana baya baba mtumishi
Jpili twende kanisani kwake dada
Oohh hallelujah,
Karibuni sana katika madhabahu teule ya bwana, mchote mibaraka kama yote, na Mungu atawabariki sana ....
Natoa huduma J4 na ijumaa jioni pia,
Karibuni sana
 
Back
Top Bottom