Nimesema mimi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Uzi utaenda salama. Kuna mahali utafika, utageuka shagalabagala.
Naombeni kigoda. Nikae pale.
Bff nasubiri utupie nisafishe macho ππHebu tuone
Our very own Mama.[emoji3531][emoji3531][emoji3531]Sometimes it's happy moments
Ni kutukuza na kukubali uumbaji mkuu, hakuna lingineπ€£
π€£π€£π€£ anhh subutuuu hata sijaoga miye ndyo natoka jumuiya wacha nioge nije nione watu wakitupia...Waite basi wale team vindalaπBff nasubiri utupie nisafishe macho ππ
Naona Manara wa jf katulia anasubiri kwa hamu pics za warembo aanze kusumbua watu piem π€£π€£π€£
My beautiful baby girl.Our very own Mama.[emoji3531][emoji3531][emoji3531]
Coca tupia vinjunga vyako bas πππUsitokeee, baki hapa ufauduu kutazama mema ya uumbaji wa Jah.
Umeanza πππππ€£π€£π€£ anhh subutuuu hata sijaoga miye ndyo natoka jumuiya wacha nioge nije nione watu wakitupia...Waite basi wale team vindalaπ
Mie sijavaa kitu hapa πTunasubiri yakoπ
[emoji28][emoji28]Tuambie umelala wapi leo
Nimevaa skipa ya UVCCM na jeans mpaukoUnajua kwanini tuna vioo majumbani na wengine kwenye mapochi? Kupendeza
Unajua ni kwanini maskini kuchagua viwalo? Kupendeza
Unajua kwanini baadhi getu hupenda watu watuangalie na kutusifia? Kupendeza
Hebu tupia ulichovaa leo uwe saa, miwani, wigi, kiatu ama nguo yoyote ile na urembo wowote upe..
Kama huna basi tupia hata cha mtandaoni unachoona aliyevaa kimemtoa kwatu na kupendeza sanaView attachment 2817216
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 2817248
Mama Masaja
Kwani umeolewa?Pichu ya nini wakati wa kulala
NdioKwani umeolewa?
Bff tupia hata mkono basi π€Umeanza ππππ
Wale hawaitwi parapanda ishalia, ss hivi wanakuja tusafishe macho.
Hata hiyo kitu ambayo hujavaa weka tuπ€£Mie sijavaa kitu hapa π