Midekoo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 45,757
- 246,786
Inakera na kuboa sana.Kwa jinsi JF siku hizi imeingiliwa na wapumbavu...
Ujinga unaweza kuletwa hapa.. ukafutwa au kufungwa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakera na kuboa sana.Kwa jinsi JF siku hizi imeingiliwa na wapumbavu...
Ujinga unaweza kuletwa hapa.. ukafutwa au kufungwa..
😂😂😂 kumbe uliroga ndiomana kukafungwa??This time nawaroga wote kama nilivyofanya kule [emoji35][emoji35][emoji35]
Sent using Jamii Forums mobile app
Npo napita kimya kimya naangalia maadili ya kitanzania na hv jmos biashara haitembei ntawareport mpaka mkome 😁😁😁, labda mje kuniungishaAnkal tatizo wanaoreport hawaonekani, utashangaa mtu akakasirika kisa pic ambayo hata haimuhusu!!!
Pap anabonyeza report anajaza maelezo ya uongo anatuma 😂😂🤣
Hata pua tu my friend au na yenyewe inavaa nguo?😅
Me napenda wananichekesha kweli 😂😂😂Anajua kumsumbua kama mdudu wa sikio 🤣🤣
Mbona unataka kuwa katibu mwenezi 🤣🤣Naomba ukiranja mkuu, yaani headboy au raisi wa chuo🤣
Acha uchawi bas 😂😂😂Npo napita kimya kimya naangalia maadili ya kitanzania na hv jmos biashara haitembei ntawareport mpaka mkome 😁😁😁, labda mje kuniungisha
Yeah rafiki,nose pins haujavaa au sio mpenzi wa hiyo?😅Huu uzi unauliza umevaa nini?
Sasa pua tena? 🤦♀️
Yeah,isiwe too much
Na sisi ndyo tupo sura za baba, shepu za shangazi zetu...yaani bampa tu bampa kama hutaki nenda insta huko miloganzira kibaoJamiifForums wanawake wana sura ngumu kama zetu tu, wana maumbo kama sigara juu hadi chini kanyooka, si dharau wala tusi bali ni uhalisia, kama mie muongo ajitokeze yeyote ani prove wrong.
View attachment 2817376
Comments ziwe fupi, picha kwa wingi.
Inakera mno..Inakera na kuboa sana.
Waliorogwa ni wale walioharibu uzi ankal [emoji35][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe uliroga ndiomana kukafungwa??
Usituroge tena ankal tutakuwa vichaa wenzio
Nilishapoa kitambo mkuu
😁😁😁 Mwenyw nlitaka nitume sema nkaona ntawatia unyonge sana vijana wenzangu🤣maaana code zangu ni special order kutoka Kwa brand husika🤔🤔🤔najua utabishaAcha uchawi bas 😂😂😂
Me nataka nitupie nikiwa nimevaa biker, bas nimehairisha
Ntakuchapa ww mbona unaumeza watu vichwa hiviNi zote.