Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ankal tatizo wanaoreport hawaonekani, utashangaa mtu akakasirika kisa pic ambayo hata haimuhusu!!!
Pap anabonyeza report anajaza maelezo ya uongo anatuma 😂😂🤣
Npo napita kimya kimya naangalia maadili ya kitanzania na hv jmos biashara haitembei ntawareport mpaka mkome 😁😁😁, labda mje kuniungisha
 
Kamera mbovu mwanangu,

Nimetinga LAKUCHUMPA.

r.i.p godzilla
FB_IMG_1700292247586.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
JamiifForums wanawake wana sura ngumu kama zetu tu, wana maumbo kama sigara juu hadi chini kanyooka, si dharau wala tusi bali ni uhalisia, kama mie muongo ajitokeze yeyote ani prove wrong.

View attachment 2817376
Comments ziwe fupi, picha kwa wingi.
Na sisi ndyo tupo sura za baba, shepu za shangazi zetu...yaani bampa tu bampa kama hutaki nenda insta huko miloganzira kibao
 
Back
Top Bottom