financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hahaa mahari yote hiyo ya nini mkuu, hizo ng'ombe zitasaidia ada za shule za watoto😀Hahahaha,kwakua kaniwahi basi, mie ningetoa Ng'ombe 4 ,Mbuzi mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa mahari yote hiyo ya nini mkuu, hizo ng'ombe zitasaidia ada za shule za watoto😀Hahahaha,kwakua kaniwahi basi, mie ningetoa Ng'ombe 4 ,Mbuzi mmoja
[emoji105] za huyo jamaa ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Hahahaha,safi sanaHahaa mahari yote hiyo ya nini mkuu, hizo ng'ombe zitasaidia ada za shule za watoto😀
Hii picha ipo kwenye wimbo gani wa kisukuma?
Usisahau kunitag sasa baby sis🥳 yaani dada hamjui mdogo ake wakimuiba je ntawaambia nini watu😀Inakuja soon dear sis, [emoji23][emoji23]
Haha mimi si Afande hilo ni tshirt la kawaida tu nilinunua dukani [emoji16][emoji16]Jambo Afande!
Aisee, unataka kunifanya nini we dada, ulivyo mzuri mahari mbuzi mbili tu! ?Ni mbuzi wawili tu mkuu😀😀
Ooh haya ila wasije wakakumind wakikukuta umevaa mkuuHaha mimi si Afande hilo ni tshirt la kawaida tu nilinunua dukani [emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23] umejuajee? Yaan angepiga casual codes, mbna unyamaa mwingii.Naona mawazo yashafika mbaaaali [emoji533]
Yaani binadamu, unataka upewe nini mkuu😀, umepunguziwa mahari unadoubt ningekuambia mahari kubwa pia ungekimbia, wewe toa mbuzi 2 tu usijali😀Aisee, unataka kunifanya nini we dada, ulivyo mzuri mahari mbuzi mbili tu! ?
[emoji23][emoji23][emoji23] naibwajee sasa sis, na JF hakuna wa kuniiba.Usisahau kunitag sasa baby sis[emoji3060] yaani dada hamjui mdogo ake wakimuiba je ntawaambia nini watu[emoji3]
Yeah huwa Nashinda nalo tu home [emoji846][emoji846]Ooh haya ila wasije wakakumind wakikukuta umevaa mkuu
Wachafuzi hawakosekani popoteMbna tahadhari mapemaa? Kwemaa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikuone kesho😉..My babe
Nilizivaa mara moja tu kufuliwa zikasahaulika nje wakapita nazo,though ni kiwango kimtindoJamani jamani hizo simple ni za taifa kila mtu anazo😀😀
Unazitoaga wapiii? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapanaa relaaaax!! Huu uko safe.