Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Mume wangu hebu tulia, wee mzee sahiv achia vijana tufurahie wakati wetu.

Hutaki nipate wa kukusaidia majukumu ya kitandani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mke nguo si ni vitu vya kawaida tu🤗,
mpaka tuvae tuonyeshane ni umaskini tu
 
Ngoja nikujibu Kwa ubeti mzuri kama wa Shaban Robert
Una taka kuni chukulia POa, kumbe mi mwenyewe dogo wa milimani 😂😂
FB_IMG_17000841938035255.jpg
 
Back
Top Bottom