Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Ngoja ninyamaze tu maana kuna vitu nikiuliza hapa utaona nakushambulia.

Ok. Umefanya vizuri kujua ulipojikwaa na suo ulipodondokea. Nakushauri tu kama ni wewe kweli anza kuhifadhi mambo yako kufuani, not everyone lazima ajue eti kwa vile mko karibu.

Ulitumiwa kwenye vita usiyokuhusu. Stay safe✌️
I've learnt my lesson ,and I'm super grateful kuwa mambo hayo yalitotokea

nimejifunza usiamini watu
people ni hatari
not everyone has a soft heart or kind
ogopa teknologia
dont trust online strangers
 
Naona una supply ma ushauri kama yote. Hope umeshaonana na marryjuan😀
Niko sober 😆
Ushauri wenyewe umekataliwa.. basi wacha hiyo guilty iendelee kumnyonga huko aliko,, sisi tuendelee kuvibe na jeiefu.
 
  • Kicheko
Reactions: 511
I've learnt my lesson ,and I'm super grateful kuwa mambo hayo yalitotokea

nimejifunza usiamini watu
people ni hatari
not everyone has a soft heart or kind
ogopa teknologia
dont trust online strangers
Hahaaa bado hujasema 🤭😂
 
I've learnt my lesson ,and I'm super grateful kuwa mambo hayo yalitotokea

nimejifunza usiamini watu
people ni hatari
not everyone has a soft heart or kind
ogopa teknologia
dont trust online strangers
Online strangers hawana shida, wote hapa jf ni online strangers. Cha muhimu ni kuwa na mipaka na uchague aina ya info za ku shea na unashea na nani. Umesikia cha usumbufu.
 
I see you babe sis, Saint Anne How do you manage kuwa na flat tummy hivyo kwenye huu uchumi wa mama Samia 😍😍🌺

Dr.Lizzy kama kawaida yako pokea maua yako Dr. 🌺😍

Tayana-wog ya mwisho sijaiona jamani 🥹

Depal i see you ❣️

Dejane 😍😍😍

Mideko nani kakuficha mamalake. 🌺

Ms eyes where are you boo🌺

Antonnia Umekuwa mchoyo siku hizi bi mzuri. 🌺

Missy Gf nakusalimia shougaa 🌸

Hannah, Dr. mariphosa where are you babes. 💕

Na wanaume wote mnaofanya uzi Uendelee kuwa hai 🤍❤️🤍❤️
 
Online strangers hawana shida, wote hapa jf ni online strangers. Cha muhimu ni kuwa na mipaka na uchague aina ya info za ku shea na unashea na nani. Umesikia cha usumbufu.
aisee hatari
tuwaachie wenyewe
sio msumbufu mmi kama ungeniona live ungejua hilo
ni pepo linipitia tu ..
 
I've learnt my lesson ,and I'm super grateful kuwa mambo hayo yalitotokea

nimejifunza usiamini watu
people ni hatari
not everyone has a soft heart or kind
ogopa teknologia
dont trust online strangers
Lakini pia jitahidi
Kama unasoft heart epuka kusema watu hovyo maana muosha huoshwa
 
Back
Top Bottom