Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Hee
Tatizo lako unaswampa mno Shozzz na wewe khaaaah!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] G ananitoa ktk udaku na ufukunyuku ujue.
Mda wote ananiweka buzzy, bas had watu wananishangaa mbona nimepoa sana, wallah nifanye kuchachukaa kupoa sio shda zangu kabisaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] G ananitoa ktk udaku na ufukunyuku ujue.
Mda wote ananiweka buzzy, bas had watu wananishangaa mbona nimepoa sana, wallah nifanye kuchachukaa kupoa sio shda zangu kabisaa.
😂😂😂
G akuache kwanza

Unapitwa Shozzz

Nashangaa hata zile za nyuma unalialia tu
Tulioshuhudia picha lote tunakutazama tu,,,shida husalimii wakubwa ati🤣🤣
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
G akuache kwanza

Unapitwa Shozzz

Nashangaa hata zile za nyuma unalialia tu
Tulioshuhudia picha lote tunakutazama tu,,,shida husalimii wakubwa ati[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna shost angu alinambia "wee shoga huyo mwanaume amekuja kukubadilisha muenendo, muangalie vzur, atakufanya uwe zezeta na upoe haswaa"

Sahiv G aniache kwa kweli, yaan napitwa na ma ubuyuu had siamini km ndo mie eti.

Nafikia hatua umbea nauliza kwa watu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapanaa hii haiwezekan.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna shost angu alinambia "wee shoga huyo mwanaume amekuja kukubadilisha muenendo, muangalie vzur, atakufanya uwe zezeta na upoe haswaa"

Sahiv G aniache kwa kweli, yaan napitwa na ma ubuyuu had siamini km ndo mie eti.

Nafikia hatua umbea nauliza kwa watu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapanaa hii haiwezekan.
Kweli umekuwa zezeta shoz weeh
Khaaaah😆
Hatujakuzea hivyoooh
Wewe ndo wa kulialia umbea hauujui kweli!
Mikoba aliyokukabidhi Warumi unapwaya sasa 😂
 
Back
Top Bottom