Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Waliochana mkeka ni wale waliokesha usiku 😂😂Active alikuja kuwapa warning, hamkusikia 🤣🤣
Akina udugu waliahirisha 2nd half.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliochana mkeka ni wale waliokesha usiku 😂😂Active alikuja kuwapa warning, hamkusikia 🤣🤣
Kama vipi tukupe tu screenshot za kilichojiri🤣Ninini hasa kilitokea best
Ndo hapo sasa, wangepiga ban watu waloleta kash kash, sie wengine baada ya kusawazisha majambo afu wangeamua wafanye nn
Kwani usiku napo kiliwakaa tenaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Waliobishana ule usiku ndio waliouponza uzi
Em nipe kwan na mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama vipi tukupe tu screenshot za kilichojiri[emoji1787]
Tena mpe ile yake aliyosemwa 😆Kama vipi tukupe tu screenshot za kilichojiri🤣
HeeKwani usiku napo kiliwakaa tenaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sitaki uchonganishi kabisa😂Tena mpe ile yake aliyosemwa 😆
Ulienda wapi shoz?Em nipe kwan na mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] G ananitoa ktk udaku na ufukunyuku ujue.Hee
Tatizo lako unaswampa mno Shozzz na wewe khaaaah!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nililala,Ulienda wapi shoz?
Mbona ni mida ileile tu uliyotuma tambo zako
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] G ananitoa ktk udaku na ufukunyuku ujue.
Mda wote ananiweka buzzy, bas had watu wananishangaa mbona nimepoa sana, wallah nifanye kuchachukaa kupoa sio shda zangu kabisaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna shost angu alinambia "wee shoga huyo mwanaume amekuja kukubadilisha muenendo, muangalie vzur, atakufanya uwe zezeta na upoe haswaa"[emoji23][emoji23][emoji23]
G akuache kwanza
Unapitwa Shozzz
Nashangaa hata zile za nyuma unalialia tu
Tulioshuhudia picha lote tunakutazama tu,,,shida husalimii wakubwa ati[emoji1787][emoji1787]
Kweli umekuwa zezeta shoz weeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna shost angu alinambia "wee shoga huyo mwanaume amekuja kukubadilisha muenendo, muangalie vzur, atakufanya uwe zezeta na upoe haswaa"
Sahiv G aniache kwa kweli, yaan napitwa na ma ubuyuu had siamini km ndo mie eti.
Nafikia hatua umbea nauliza kwa watu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapanaa hii haiwezekan.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nililala,
Wee jana nilichoka sana, ndo nkatoa tangazo ili watu wawe tayari kwa ujio wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] G aniachee kwa kweliii.Kweli umekuwa zezeta shoz weeh
Khaaaah[emoji38]
Hatujakuzea hivyoooh
Wewe ndo wa kulialia umbea hauujui kweli!
Mikoba aliyokukabidhi Warumi unapwaya sasa [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan JF, nasikia had watu waloitana pacha, jana walitifuanaa balaaa.Ilikuwa kivumbi shosss
Walitegea mida ya wanga[emoji38]
Hata mimi nilishtuka usingizini ndo nikakutana na mtanange
Tena mpe ile yake aliyosemwa [emoji38]