Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
😅😅Hili dundo km la muuza uduvi mbona [emoji81][emoji81]
Manyanza hi [emoji112]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅Hili dundo km la muuza uduvi mbona [emoji81][emoji81]
Manyanza hi [emoji112]
100 naomba unielekeze jinsi ya kuweka hizo stickers zinazochezalips
shingo
mshepu![]()
We tupia wengine tunapenda wenye maumbo kama ufunguo, hutuambii kitu..Kwenye miti hamna wajenzi
Mimi ningekua na mshepu kama wako nguo zangu zingekua skin tight tu na vimini☺️
Mungu alijua akinipa watu watanikoma
😁😁Kwenye miti hamna wajenzi
Mimi ningekua na mshepu kama wako nguo zangu zingekua skin tight tu na vimini☺️
Mungu alijua akinipa watu watanikoma
Chai😁😁
Kamera inanitoa tofauti na nilivo mamy Sina hata hio shepu walai!
Nitatupia ukiwa haupo humuWe tupia wengine tunapenda wenye maumbo kama ufunguo, hutuambii kitu..
Hakii tenaChai
Acha hizoooo tubless jamaniNitatupia ukiwa haupo humu
Mmh wewe huyo 😉😁😁
Kamera inanitoa tofauti na nilivo mamy Sina hata hio shepu walai!
Nishatupia sana mkaishia kunicheka Mungu anawaona mimi situpii tena anayetaka kuniona aje kwetuAcha hizoooo tubless jamani
Haituhusu we mtoto tumia akili Vincenzo Jr
Ni locate basi 🤣🤣🤣Nishatupia sana mkaishia kunicheka Mungu anawaona mimi situpii tena anayetaka kuniona aje kwetu
Mbagala makaburini karibia na kioksi cha mama CatheNi locate basi 🤣🤣🤣
Kesho mapema tu nipo hapo 😀😀😀Mbagala makaburini karibia na kioksi cha mama Cathe
Ukiwa unataka kitu kua mwepesi kuelewaKesho mapema tu nipo hapo 😀😀😀
Kituo ni mbagala ipi?
Bora sshv nimepata mwenzangu wa nguo pana ,ndefu😅🥰Muwe na Jioni njema wapendwa
Lovelovie
Mama mchungaji acha maneno tupia nikuone☺️Bora sshv nimepata mwenzangu wa nguo pana ,ndefu😅🥰
