Umevaa nini mkononi!

Nilivosomaga ule uzi wa Umu kuhusu watafutaji pesa kwanjia za waganga kwa kupewa bangili au pete kila nikikutana na mtu mwenye Hivo Vitu Huwa namuangaliaaaaaaaa!
Hata ambao hua hawana hivyo vitu mkononi pia hua unawaangalia na ndio maana hua unagundua kua wao hawana hivyo vitu mikononi mwao.

😎😎
 
Mtz halisi.....!! Naipenda Tanganyika naipenda zanzibar
 
Kwa hiyo ndio umeona umependezaaa mpaka utuonyeshe[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]?
Tupia chako....tuone naww ulivyopendeza [emoji3061][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…