Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
poa poaUmetisha saa janja[emoji1487]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
poa poaUmetisha saa janja[emoji1487]
Hata ambao hua hawana hivyo vitu mkononi pia hua unawaangalia na ndio maana hua unagundua kua wao hawana hivyo vitu mikononi mwao.Nilivosomaga ule uzi wa Umu kuhusu watafutaji pesa kwanjia za waganga kwa kupewa bangili au pete kila nikikutana na mtu mwenye Hivo Vitu Huwa namuangaliaaaaaaaa!
thanks🙏Nmelipenda hilo ua[emoji91][emoji41]
😂😂😂👊Tuone kama nothing[emoji23][emoji23]
Kwa hiyo ndio umeona umependezaaa mpaka utuonyeshe😁😁😁😁?Rejea kichwa cha uzi mwanaJF umevaa nini mkononi..Tupia kwa uzi View attachment 2609384
Sumsung smart watch....Rejea kichwa cha uzi mwanaJF umevaa nini mkononi..Tupia kwa uzi View attachment 2609384
Rolex-Oyster perpetual (superlative chronometer)hapana chezea 🤣🤣🤣Tupia chako....tuone naww ulivyopendeza [emoji3061][emoji23][emoji23]
Sumsung tena 😅Sumsung smart watch....
Penseli 4Kama hiyo au nipige tena😂View attachment 2609493
🤣🤣🤣 Dogo vipi
unajifanya huelewi sio😂🤣🤣🤣 Dogo vipi
Huyo si nilishakuambia ni demu ukawa huelewiunajifanya huelewi sio😂
hii ni backup nilipewa warning juzi, naona ile nyingine iko hatarini😂Huyo si nilishakuambia ni demu ukawa huelewi
Out of topic: Naona unataka kuiga step zangu za kuwa na id nyingi.
Tumia akili