Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

Tatizo hao unaowataka sio wazuri ila wapo wengi tena vyuoni
 
Baba kateka jena la yesu tonakoshokoro kwa jeoni ya leo,asante kwa kotofekesha moda hoo,rebarekewe jena lako, Amen.
Mkuu umenichekesha sana...Walokole wana mbwembweee..
 
Umalaya umejifunza kirahis sana we mbwa kasoro mkia
 
hio namba moja huwa naitumia sana,tafanya njia yoyote ili upate taarifa mm ni hanisi,hasa eneo ambalo sifahamiki kosa uingie mkenge umekwisha..maana utakuja umejiamini hamna kazi.
 
Hukusema hivyo. Ulisema nikikuzungusha muda mrefu sana ndio nitaharibu. Kuhusu expensive umeniambia utajivunia sana huo uexpensivu wangu
Nimeshatuma mshenga kabisa nimeanza na gia kubwa...mshenga mwenyewe ni Demi amekutumia pm😅
 
Thamani yake IPO pale pale ni vile tu yeye atakavyo amua kutumia life experience yake kujiongezea au kujishushia thamani. Tena bora yeye kajiweka wazi kuna watu wanajidai malaika ila ukifungua background zao utakuta kwenye jeshi la wazinzi wanavyeo vya field martial
 
Yan unaweza hisi uwa unakula majini maana Kila mtu anajidai mstaarabu
 

Umenipa genye.
 
Kwa kua ni Mwanamke mmempa matusi yote ila angekua mwanaume mngempongeza sana,

Mfumo Dume umeharibu sana akili za Wanaume wa Kiafrika, mmekua na akili za Nzi kama sio Nzige.
Nisikilize Drim Kwini;
Mwanaume ni mwindaji kama simba.
Endapo swala ataona simba na kuacha kukimbia, swala huyo atahesabiwa ni mgonjwa.
Duniani kote mwanamke akitakiwa angalau huringa kiduchu jspo kiuhalisia moyoni yuko tayari mara nyingi.
Pili...kuliwa bila kutaraji angalau iwe mara moja nafikiri isingefaa kulaumiwa.
Sasa dada yetu yaani ni mfululizo tu akitazamwa machoni amelowa heee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…