Umewahi fanya mapenzi na mtu ambaye hukumdhania?

Nani aowe???
Wewe au mwingine
Yan 24/7 unaongelea mbususu huyo mke si atarudi kwao baada ya mwezi
Usiowe tuu we zichakate uwezavyo maisha yenywe haya jimwage baba
Sasa mke anafuata nini kwa mume...sii anafuata de libolo. Maana kula kuvaa vyote alikuwa anapta kwa wazazi wake
 
bdo unaendelea na kamchezo hako hadi xaxa???
 
Muacheni dada wa watu
Nyie ni sawa ila Kwa huyu dada Malaya?
Ndio ulimwengu ulivyo, unafuga mifugo majike wengi kuliko madume. That's how it works
 

Attachments

  • Screenshot_20220729-161006_WhatsApp.jpg
    216.6 KB · Views: 28
Yaani nimeshangaaa
Tena unafiki haswaa
 
Sasa mke anafuata nini kwa mume...sii anafuata de libolo. Maana kula kuvaa vyote alikuwa anapta kwa wazazi wake
Eti eeeee we achana na kuoa bana fanya kitu roho inapenda usije ukamfuja mtoto wa watu
 
Eti eeeee we achana na kuoa bana fanya kitu roho inapenda usije ukamfuja mtoto wa watu
Mna vigeugeu nyie...mara huwezi shindana na mbususu siku nyingine utamfuja mtoto wa watu ....tuwaelewaje?
Kuoa muhimu bwana
 

Ahaaa! Tayari nimeshakufahamu ni nani! Nilitulia sana kutaka kujua huyu atakuwa nani aliyemwaga huu uzi! Nitakuambia pm wewe ni nani! Ila kwa hadhi yako na kwa vile uneshaokewa hikutakiwa kumwaga hayo mambo yako humu kwa sababu forum in watu wengi sana, lazima ungejulikana tu!
 
Acha kutisha wenzako. Admin1988 piga BAN huyu
 
Well mkuu si ndio maana nikasema mwanaume na mwanamke ni tofauti sababu mwanaume anatumia na mwanamke ni mtumiwaji. Mimi sina cha kupoteza hata nikilala na wanawake 1000 lakini mwanamke ana vingi na mengi ya kupoteza means kuandika nilichoandika ni completely out of honest.
Na unaweza kuniambia kwanini unatumia nguvu nyingi kunipinga? well labda kwa sababu kuna kaukweli mchungu ndani yake that's why unalazimisha kupinda uhalisia.

Mkuu wewe ndio wale watu mnaoshawishi watu (hasa vijana wadogo wasiojitambua bado) wafanye vitu vya kujiaibisha na kujidharirisha kwa manufaa yenu wenyewe, hivyo fikiria mara mbili kati ya mimi na wewe nani mnafiki. naelewa ulimwengu umechafuka na mabinti wadogo wengi akili zao zimeelekea huko.

Alafu ni kweli mkuu upo sahihi, nimesahau kwamba huu ni ulimwengu wa 50% kwa 50%.
Hey! round the table life is too short.
 
Ni kweli mkuu, lakini wakuu why so serious kama ni kitu kidogo tu kama mnavyosema.
Unless wote mnaujua ukweli and that's why mnatumia nguvu nyingi kuupinga.

Ni maoni yangu tu ya mtu mmmoja asiyejulikana, just a prank bro.
 
Yaani nimeshangaaa
Tena unafiki haswaa
Unafiki ni pale mtu anasema kitu fulani lakini unatambua ni uongo sababu unamjua kiundani.
Kwa definition ya unafiki mimi sio mnafiki sababu nilichoandika ni mimi kabisa.

And hey girl for sure haunijui lakini kiuhalisia mimi ni mtu safi sana na siku zote nasema ukweli bila kuyumba except muda mwingine unaweza sema ukweli mchungu ambao unamuumiza mtu pakubwa na mimi sipendi kuumiza watu especially watu ambao bado hawajakua kiasi cha kutosha na akili zao kupevuka wala kujua wanachokifanya, sababu hawachelewi kuchukua maamuzi magumu.

Mnafiki ni yule anayeficha ukweli ili kujiridhisha na kujifariji, lakini siku zote ukweli utabaki palepale.
 
Yani mnaitwa mtufundishie watoto mnaanza kupigana miti tena
Aisee

Ila bora mwalimu wa kike
Angekua wa kiume eh Yarabi God forbid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…