Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes, I used to.kuna bwana mmoja nilikuwa naishi nae maeneo ya msasani beach akiwa hajalewa hajui kabisa kingereza ila akinywa anasahau kabisa kiswahili
Situmii pombe ila na enjoy mtu akilewa nimtizame machoni na wanavyoimba nyimbo ambazo hazina ushirikiano[emoji38]
Aaah wapi...Na gongo nayo ukinywa unaongea kimalikia??
Wapo wengikuna bwana mmoja nilikuwa naishi nae maeneo ya msasani beach akiwa hajalewa hajui kabisa kingereza ila akinywa anasahau kabisa kiswahili
Ndiyo unaonge ila unakua mkali mkali tu,yani kiwe kizuri au kibaya wewe ni kupanic tu.Na gongo nayo ukinywa unaongea kimalikia??
Ndo kusemaaaa kwamba we ndo tulikuwa wote?? Name the location pleas[emoji1787]Umekuja kunisema Huku siyo mbaya tutakutana kitaa tuu