Umewahi kuachana na mtu kwa uzuri?

uyu anaonekana mzee wa chai, chai baada ya chai
2016- 2021 au sababu nimeweka thread 3 withn a short time, ndio Inaonekana Kama fictions. Kule kwa wameru ni 5 days mchezo uliisha na fimbo nkachezea, zinabaki siku 360 kwenye mwaka . Unataka niweke tukio moja nikae mwaka niweke lingne mkuu ndio ujue n ukweli๐Ÿ˜‚
 
...thermos itasaidia
 
Ahsantee mkuu.๐Ÿ˜„
Ahaaa kumbe misitu..basi bwana mi nikajua ni chuo cha madrassa.. maana si kwa uandishi huo wa bila kuacha Aya.safi sana lakini hongera
 
Bila shaka utakuwa Babu very charming.

Mpaka unazeeka full matukio.

Stay safe though.
Hhhhhhh, ila ni ujana tu boss ๐Ÿ˜Šambao ni ujinga ntakuja kujua baadae. Stay safe too.
 
Kweli boss icho kitu kipo Sanaa, nmependa msimamo wako katika hilo, kwaio hata urafiki nae saivi hautaki tenaa?
hapana mkuu, sihitaji urafiki kabisa.

kwenye urafiki ndio muda hupotezwa sana na ndio wakati watu wana invest feelings zao.

bahati mbaya, mmoja hua ana feelings feki na pale mtu akishajua wapi atulie, maumivu yamkuta yule mwenye feelings za ukweli!

honesty saves time (and money ๐Ÿ˜… )
 
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ Well said mkuu, umeongea busara. Nmejifunza kitu. Stay blessed
 
Mimi huwa nikiachana kwa wema mwisho wa siku tunaishia kukulana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ