Umewahi kuchapwa/kupigwa na mzazi/mlezi?

Dah umenikumbusha far,kuna mzee mmoja alikua ni anatembeza kipondo heavy,namaanisha kipondo heavy kwelikweli,akimchapa mwanae,mtoto lazima ajinyee au ajikojolee.Yani mke wake akisikia mtoto anakula kichapo anachemsha maji ya moto kabisa kwa ajili ya kumkanda kanda mtoto,

Yule maza alikua analia sanah mtoto wake akiwa anachezea kichapo,mana vichapo vya huyo mzeee daah.Mpaka nikawa nawaza au sio watoto wake mana sio kwa kipondo kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…