Umewahi kuchezea block toka kwa mpenzi wako? (Ushuhuda)

Umewahi kuchezea block toka kwa mpenzi wako? (Ushuhuda)

Dr Count Capone

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2017
Posts
1,878
Reaction score
3,263
Waungwana shida ziko palepale!
Twendeni kwenye mada

Nafikiri sote humu tushakuwa kwenye mahusiano kwa muda fulani, na kila mahusiano yana vimbwanga vyake, asikwambie mtu kila mahusiano yana changamoto zake.

Sasa hapa tunajadili kama uliwahi kuchezea blocki toka kwa mpenzi wako iwe ktk Harakati za kutongoza au wakati wowote ule

Nitaanza na ushuhuda wangu

Binafsi nina bahati sana kwenye mahusiano sijawahi kuchezea bloku ila niliwahi omba bloku kwa mtoto wa kile mmoja hivi

Huyo binti nilikuwa nae chuoni nilitokea kumpenda sana sana sana, nikamtongoza karibia wiki mbili ikawa kama hanielewi

Ktk wiki zote hizo pilika pilika zilikua nyingi sana maana hakuwa ananikataa mazima wala kunikubali

Sasa ktk kupima usiku mmoja nilimuomba kama hanitaki basi anibloku, ila kuamka kesho yake kupiga simu inaita

Ikawa bado haeleweki nikaomba sana anibloku hatimae nilichokitaka nilikipata 😂

Nilikula bloku partial yani kanibloku normal ila whatsapp alikuwa online

Baada ya siku mbili nikaona siwezi maisha yale nikapiga simu Whatsapp call nikamuomba aniondolee hizo sanctions haraka, binti alinipenda na akaondoa lakini kusema ukweli ilichukua masaa 8 ya negotiation kuondoa vikwazo hivyo ila aliviondoa na baada ya siku 4 alikubali officially!

Mbali na tukio hilo sikuwahi kublokiwa wala kumbloku mtu tena

Vipi kwako ilikuaje? Ulijisikiaje? Baada ya bloku hiyo ulitumia njia gani kuiondoa au ulipotezea?

Karibuni sana

Bandiko hili ni kwa hisani ya Mzee wa kupambania
 
Nilichezea block baada ya yeye kwenda kusuka saloon iliyo karbu na makazi yangu sasa sijui aliambiwa nini ??

Nikasema ngoja nipambanie nili pambana lkn ile sumu aliyolishwa sijui ilikuaje nikaamua nimtazame tu mana nilikubali yote nilikaa kimya mpk akaja kunitafut mwenyewe hadi leo sitaki kujuana na wadada wa masaloon yani sina hamu nao.
 
Waungwana shida ziko palepale!
Twendeni kwenye mada

Nafikiri sote humu tushakuwa kwenye mahusiano kwa muda fulani, na kila mahusiano yana vimbwanga vyake, asikwambie mtu kila mahusiano yana changamoto zake.

Sasa hapa tunajadili kama uliwahi kuchezea blocki toka kwa mpenzi wako iwe ktk Harakati za kutongoza au wakati wowote ule

Nitaanza na ushuhuda wangu

Binafsi nina bahati sana kwenye mahusiano sijawahi kuchezea bloku ila niliwahi omba bloku kwa mtoto wa kile mmoja hivi

Huyo binti nilikuwa nae chuoni nilitokea kumpenda sana sana sana, nikamtongoza karibia wiki mbili ikawa kama hanielewi

Ktk wiki zote hizo pilika pilika zilikua nyingi sana maana hakuwa ananikataa mazima wala kunikubali

Sasa ktk kupima usiku mmoja nilimuomba kama hanitaki basi anibloku, ila kuamka kesho yake kupiga simu inaita

Ikawa bado haeleweki nikaomba sana anibloku hatimae nilichokitaka nilikipata 😂

Nilikula bloku partial yani kanibloku normal ila whatsapp alikuwa online

Baada ya siku mbili nikaona siwezi maisha yale nikapiga simu Whatsapp call nikamuomba aniondolee hizo sanctions haraka, binti alinipenda na akaondoa lakini kusema ukweli ilichukua masaa 8 ya negotiation kuondoa vikwazo hivyo ila aliviondoa na baada ya siku 4 alikubali officially!

Mbali na tukio hilo sikuwahi kublokiwa wala kumbloku mtu tena

Vipi kwako ilikuaje? Ulijisikiaje? Baada ya bloku hiyo ulitumia njia gani kuiondoa au ulipotezea?

Karibuni sana

Bandiko hili ni kwa hisani ya Mzee wa kupambania
Ilitokea mke wa jamaa mwenyewe alikolea kwangu. Baadae tukala mambooooo... Na yeye akainjoi Sana. Sasa bana si mumewe akaijua,! Akambana Sana. Akaonaisiwe Soo akani block na matangazo akatoa Kuni block.

Japo nilitamani tuachane Kwa amani lkn block imeniuma sana
 
Ilitokea mke wa jamaa mwenyewe alikolea kwangu. Baadae tukala mambooooo... Na yeye akainjoi Sana. Sasa bana si mumewe akaijua,! Akambana Sana. Akaonaisiwe Soo akani block na matangazo akatoa Kuni block.

Japo nilitamani tuachane Kwa amani lkn block imeniuma sana
Ungemtumia tu msj ataisoma kwenye sms blacklisted
 
Ilitokea mke wa jamaa mwenyewe alikolea kwangu. Baadae tukala mambooooo... Na yeye akainjoi Sana. Sasa bana si mumewe akaijua,! Akambana Sana. Akaonaisiwe Soo akani block na matangazo akatoa Kuni block.

Japo nilitamani tuachane Kwa amani lkn block imeniuma sana
Pole mkuu

“Block imeniuma sana”😂
 
Sina kumbukumbu.

Ila binafsi huwa naona block ni utoto sana aisee...

Simu yako kila kitu chako si ni wewe utaamua usome usijibu au usiisome kabisa au umpeleke Archived huko.

Unambock mtu unamuogopa nini?
 
Nilichezea block baada ya yeye kwenda kusuka saloon iliyo karbu na makazi yangu sasa sijui aliambiwa nini ??

Nikasema ngoja nipambanie nili pambana lkn ile sumu aliyolishwa sijui ilikuaje nikaamua nimtazame tu mana nilikubali yote nilikaa kimya mpk akaja kunitafut mwenyewe hadi leo sitaki kujuana na wadada wa masaloon yani sina hamu nao.
Walimpa sumu nini
 
Nilichezea block baada ya yeye kwenda kusuka saloon iliyo karbu na makazi yangu sasa sijui aliambiwa nini ??

Nikasema ngoja nipambanie nili pambana lkn ile sumu aliyolishwa sijui ilikuaje nikaamua nimtazame tu mana nilikubali yote nilikaa kimya mpk akaja kunitafut mwenyewe hadi leo sitaki kujuana na wadada wa masaloon yani sina hamu nao.
Pole sana mkuu

Usikute walikuwa wanasimuliana ulivyowatongoza, kila mtu alitoa story yake

Mrembo wako akaona wewe ni kicheche
 
Back
Top Bottom