Dr Count Capone
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,878
- 3,263
Waungwana shida ziko palepale!
Twendeni kwenye mada
Nafikiri sote humu tushakuwa kwenye mahusiano kwa muda fulani, na kila mahusiano yana vimbwanga vyake, asikwambie mtu kila mahusiano yana changamoto zake.
Sasa hapa tunajadili kama uliwahi kuchezea blocki toka kwa mpenzi wako iwe ktk Harakati za kutongoza au wakati wowote ule
Nitaanza na ushuhuda wangu
Binafsi nina bahati sana kwenye mahusiano sijawahi kuchezea bloku ila niliwahi omba bloku kwa mtoto wa kile mmoja hivi
Huyo binti nilikuwa nae chuoni nilitokea kumpenda sana sana sana, nikamtongoza karibia wiki mbili ikawa kama hanielewi
Ktk wiki zote hizo pilika pilika zilikua nyingi sana maana hakuwa ananikataa mazima wala kunikubali
Sasa ktk kupima usiku mmoja nilimuomba kama hanitaki basi anibloku, ila kuamka kesho yake kupiga simu inaita
Ikawa bado haeleweki nikaomba sana anibloku hatimae nilichokitaka nilikipata 😂
Nilikula bloku partial yani kanibloku normal ila whatsapp alikuwa online
Baada ya siku mbili nikaona siwezi maisha yale nikapiga simu Whatsapp call nikamuomba aniondolee hizo sanctions haraka, binti alinipenda na akaondoa lakini kusema ukweli ilichukua masaa 8 ya negotiation kuondoa vikwazo hivyo ila aliviondoa na baada ya siku 4 alikubali officially!
Mbali na tukio hilo sikuwahi kublokiwa wala kumbloku mtu tena
Vipi kwako ilikuaje? Ulijisikiaje? Baada ya bloku hiyo ulitumia njia gani kuiondoa au ulipotezea?
Karibuni sana
Bandiko hili ni kwa hisani ya Mzee wa kupambania
Twendeni kwenye mada
Nafikiri sote humu tushakuwa kwenye mahusiano kwa muda fulani, na kila mahusiano yana vimbwanga vyake, asikwambie mtu kila mahusiano yana changamoto zake.
Sasa hapa tunajadili kama uliwahi kuchezea blocki toka kwa mpenzi wako iwe ktk Harakati za kutongoza au wakati wowote ule
Nitaanza na ushuhuda wangu
Binafsi nina bahati sana kwenye mahusiano sijawahi kuchezea bloku ila niliwahi omba bloku kwa mtoto wa kile mmoja hivi
Huyo binti nilikuwa nae chuoni nilitokea kumpenda sana sana sana, nikamtongoza karibia wiki mbili ikawa kama hanielewi
Ktk wiki zote hizo pilika pilika zilikua nyingi sana maana hakuwa ananikataa mazima wala kunikubali
Sasa ktk kupima usiku mmoja nilimuomba kama hanitaki basi anibloku, ila kuamka kesho yake kupiga simu inaita
Ikawa bado haeleweki nikaomba sana anibloku hatimae nilichokitaka nilikipata 😂
Nilikula bloku partial yani kanibloku normal ila whatsapp alikuwa online
Baada ya siku mbili nikaona siwezi maisha yale nikapiga simu Whatsapp call nikamuomba aniondolee hizo sanctions haraka, binti alinipenda na akaondoa lakini kusema ukweli ilichukua masaa 8 ya negotiation kuondoa vikwazo hivyo ila aliviondoa na baada ya siku 4 alikubali officially!
Mbali na tukio hilo sikuwahi kublokiwa wala kumbloku mtu tena
Vipi kwako ilikuaje? Ulijisikiaje? Baada ya bloku hiyo ulitumia njia gani kuiondoa au ulipotezea?
Karibuni sana
Bandiko hili ni kwa hisani ya Mzee wa kupambania