Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisaWengi yalishatufika ila ukija kuomba mara ya pili unaenda kubwa, tatizo inakuwa mpaka akuelewe na kukupa
Kwamba hazikutishi tenaBlock nimechezea sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] mimi nikikuacha tu hapo
Kila muda nitakuwa nawaza kukusema
Hongera mkuuHapana
🤝🤝🤝 mkuuAsante Count Capone kwa kuleta huu uzi baada ya ile meseji yangu leo mchana kwamba ulihisije ulipolimwa block na mpenzi wako. Kuna hali fulani naipitia ninaposoma shuhu
Tafuta pesa ataunblock mwenyeweKuna mtoto wa mtu kani block voice calls ila powa tu😂
Mdomo unakuwasha😂 mimi nikikuacha tu hapo
Kila muda nitakuwa nawaza kukusema
Shoo shoo 😂Hakuna kublock mtu hapa.....
Unaogopwa nini
hata kidogo maana najua ata niunblock tuKwamba hazikutishi tena
Unatumia mbinu gani kuku unblockhata kidogo maana najua ata niunblock tu
Ataonajee kwanza ukiwa Unaendelea poaa..
ledada kwenye post yake alizungumzia long distance kuwa chanzo cha kupigana block na aliyekuwa mpenzi wake🤝🤝🤝 mkuu
Nyie ndo mkiombwa mpaka nyuma mnatoaga, washamba wakubwa nyie, unamblock afu badae unaskia anamiliki pisi Kali zaidi yako na bado unakutana nae kazini kama boss wako.Nakublock si kwamba nakuogopa
Najaribu tu kukwambia you are no longer needed in my laifuuu
Kuna vitu unaacha km vilivyo tu.Ungembana angekwambia
Hapo sasa. Unamuacha aone namna maisha yako yanaendelea bila yeye.Ataonajee kwanza ukiwa Unaendelea poaa..
SanaaMdomo unakuwasha