Nyaubikra
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 1,339
- 3,319
Sijui mkuu.Walimpa sumu nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui mkuu.Walimpa sumu nini
Ungembana angekwambiaSijui mkuu.
Wala ni vile mmoja wao alinikuta usiku natembea na binti anaye mjuaPole sana mkuu
Usikute walikuwa wanasimuliana ulivyowatongoza, kila mtu alitoa story yake
Mrembo wako akaona wewe ni kicheche
Hahaha eti mrembo😂
Doh kama ni long distance i feel youHahaha eti mrembo😂
Tulikuwa tunagombana sana kwa week hata mara tano😂😂😂😂😂 na hivi ilikuwa long distance🤣🤣🤣🤣
Full dramaNilishawahi kuchezea wakati namseti nimtongoze, hiyo ni baada ya kuchukua namba kwa mtu. Sasa zile text za awali akajibu fresh whatsapp, ila ghafla nashtuka nimechezea tofali la zege.
Nilipokuja kumcheki kwenye sms za kawaida nikamchana live kwa alichokifanya block aliiondoa na baadaye nilikuja kumpata akawa wangu.
Doh pole mkuuWala ni vile mmoja wao alinikuta usiku natembea na binti anaye mjua
[emoji16]kwanza kukamia game ni sumu mkuu, ukikamia jua unaenda kuaibika unachukulia kitu xha kawaida tu. Kukamia utapanic uwe chini ya kiwangoFull drama
Muhimu ulimpata mkuu
Sipati picha ulivyokamia game siku ya kwanza alivyokupa
Nshapoa kwa kweli, Namshukuru MunguDoh kama ni long distance i feel you
Pole mrembo,
Hili nalo ni kweli[emoji16]kwanza kukamia game ni sumu mkuu, ukikamia jua unaenda kuaibika unachukulia kitu xha kawaida tu. Kukamia utapanic uwe chini ya kiwango
Sina shaka mkuu wewe ni mtaalam si bureSiblokiki, ukiniblock utamimiss tu 😁
Wengi yalishatufika ila ukija kuomba mara ya pili unaenda kubwa, tatizo inakuwa mpaka akuelewe na kukupaHili nalo ni kweli
Yalinikuta ilikuwa ni aibu
Nakublock si kwamba nakuogopaSina kumbukumbu.
Ila binafsi huwa naona block ni utoto sana aisee...
Simu yako kila kitu chako si ni wewe utaamua usome usijibu au usiisome kabisa au umpeleke Archived huko.
Unambock mtu unamuogopa nini?
🤣🤣🤣hadi leo sitaki kujuana na wadada wa masaloon yani sina hamu nao.
Sasa block ndiyo inaonesha umuhitaji tena surely??Nakublock si kwamba nakuogopa
Najaribu tu kukwambia you are no longer needed in my laifuuu
😂 mimi nikikuacha tu hapoSasa block ndiyo inaonesha umuhitaji tena surely??
Mimi nakuacha tu hapo...Ni kama hainisumbui...