Umewahi kufanya kazi gani yenye hatari kubwa ambayo kidogo ikutoe uhai?

Umewahi kufanya kazi gani yenye hatari kubwa ambayo kidogo ikutoe uhai?

Pande za mwanza nyegezi corner mtaa wa swila, kuna siku tuko kwa mtanga ubalozini aisee walitokea mapoti from nowhere watu tulitawanyika kama upepo kuna milima na mawe makubwa ndo siku nilipanda jiwe bila kupenda dadeki jiwe la mwisho lilikua kubwa almanusura linishinde mana mixer pumzi kukata na naona hapa nikteleza naumia vbaya au kifo nyuma naona mapoti na nyungu wanaongezeka, real fvckn movie!
 
Nilikuwa nafundisha shule moja katika halmashauri moja nchini ina mazingira magumu balaa. Nilikuwa nakaa kijiji cha pili na kulazimika kuvuka mito yenye mamba na viboko wengi. Ningepoteza maisha waajiri wangu wangesema ni uzembe nimetaka mwenyewe kutokukaa shuleni.
 
Nilikuwa nafundisha shule moja katika halmashauri moja nchini ina mazingira magumu balaa. Nilikuwa nakaa kijiji cha pili na kulazimika kuvuka mito yenye mamba na viboko wengi. Ningepoteza maisha waajiri wangu wangesema ni uzembe nimetaka mwenyewe kutokukaa shuleni.
 
Nilikuwa nafundisha shule moja katika halmashauri moja nchini ina mazingira magumu balaa. Nilikuwa nakaa kijiji cha pili na kulazimika kuvuka mito yenye mamba na viboko wengi. Ningepoteza maisha waajiri wangu wangesema ni uzembe nimetaka mwenyewe kutokukaa shuleni.

Ikawaje mkuu ukatoka salama
 
Pande za mwanza nyegezi corner mtaa wa swila, kuna siku tuko kwa mtanga ubalozini aisee walitokea mapoti from nowhere watu tulitawanyika kama upepo kuna milima na mawe makubwa ndo siku nilipanda jiwe bila kupenda dadeki jiwe la mwisho lilikua kubwa almanusura linishinde mana mixer pumzi kukata na naona hapa nikteleza naumia vbaya au kifo nyuma naona mapoti na nyungu wanaongezeka, real fvckn movie!

Duh..Hii kali mkuu
 
Pole sana mkuu, ila hayo ni mambo ya kawaida kwa watafutaji,

Nimechimba sana madini huko Chunya...na niliyoyaona na yaliyonipata nikiwa huko, yalinipa Trauma....

Kuna wakati huwa siamini kuwa nipo hai...maana kuna muda nakurupuka hata usingizini, na kwa-kiasi kikubwa sana nimepoteza hata Uwezo wa Kulala.,.

Naangazia kuja kuandika Uzi hapa jukwaani, ila kwasasa nipo bize kiasi...
 
Back
Top Bottom