Umewahi kufanya kazi gani yenye hatari kubwa ambayo kidogo ikutoe uhai?


Duh pole sana mkuu maisha ni safari.
 
Mimi si mwandishi mzuri ila nitajaribu kuandika niwezavyo.

Mwaka 2018 niko kisiwani, nilikuwa nikinunua samaki wabichi(sato) napeleka mwanza, siku hiyo mida ya jioni napigiwa simu na wavuvi wa kisiwa cha jirani kuna mzigo mkubwa tu nikafuate.. nikaomba mtumbwi wa kasia kwa jamaa yangu mmoja nikachukua na mshkaji mmoja ili anisaidie kupiga kasia tuelekee maeneo hayo nikachukue hizo samaki.

Tumetembea kama dk30 wakati sasa tumeshaanza kukiona hiko kisiwa cha jirani aiseee lilikuja wimbi moja lilipiga ubavu wa ule mtumbwi tukazama ndani ya maji asee ishukuruwe tu wakati ule ulikuwa ni muda wale wavuvi wa sangara ndio wanaingia ziwani(doro) walitupita tukiwa tunatapatapa na ndio tukaokolewa namna hiyo..

Hii kitu imenifanya kuogopa maji sana mana siku hiyo ndio ilikuwa niagieni kabisa
 
Pole Sana asiseee.


Mm kidgo nife hapa African sijuwagi yule nilite butuwa na lory lilofeli breki Yuko api
 
ndio maana unajiita man rody

Mwisho wa siku uliwachenga ama walikukamata?
 
Maisha haya,pole sana jamani
 
Kumbe wewe ni mwalimu
ndio maana una makasiriko kila siku....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…