Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,809
- 1,692
WanaJf,
SALAAM!
Jukwaa hili linaundwa na watu mbalimbali wa lika, na jinsi tofauti - wa elimu na ufahamu tofauti - wa viwango na nafasi tofauti.
Wote wetu tumegeuka kuwa wakosoaji wazuri wa masuala hasa ya kijamii na kiuchumi. Ni jambo zuri kukosoa lkn ni jambo zuri zaidi kuonesha njia kwa kufanya vitu vikubwa, vya kati, au basi vidogo ilimradi vichangie ukuaji wa kiuchumi na kijamii.
Sasa mimi au wewe kipi ulichofanya ktk jamii yako kiasi kwamba hata ukifa leo jamii itabaki ikijivunia?? Si vibaya ukikitaja na kutaja sehemu kilipo.
Msakila Kabende
Kakonko.
SALAAM!
Jukwaa hili linaundwa na watu mbalimbali wa lika, na jinsi tofauti - wa elimu na ufahamu tofauti - wa viwango na nafasi tofauti.
Wote wetu tumegeuka kuwa wakosoaji wazuri wa masuala hasa ya kijamii na kiuchumi. Ni jambo zuri kukosoa lkn ni jambo zuri zaidi kuonesha njia kwa kufanya vitu vikubwa, vya kati, au basi vidogo ilimradi vichangie ukuaji wa kiuchumi na kijamii.
Sasa mimi au wewe kipi ulichofanya ktk jamii yako kiasi kwamba hata ukifa leo jamii itabaki ikijivunia?? Si vibaya ukikitaja na kutaja sehemu kilipo.
Msakila Kabende
Kakonko.