Umewahi kufanya ukauzu gani kwa mpenzi wako?!

Hapo uliliwa mkuu pole sana

Aah mkuu hujaelewa, ile kupunguza huduma ya chakula na kuongeza huduma ya pombe iliwamaliza nikajisevia kiulaini coz si unajua ukila ze laga bila misosi lazima zikutokee puani? Alipata chake na bado anaamini ninaishi arusha wakati nikimpiia nazuga ndo nimekuja dar, so napata changu! Huo sio ukauzu mkuu?
 
Tobaaaaaaa!..
 
mimi na msela wangu,tulifika club tukakutana na mashori wawili tukanywesha,ilipofika mda wa kwenda kupanjuka wakatupeleka guest ambayo wamezoeleka,kufika wakaanza kutupiga mkwara eti wao ni ma afande tuwambie sisi ni wa wapi na tunafanya kazi gani. Tukawapoza na maneno matamu tukaigia room double beds.wakagoma kutoa mchezo eti tulale kwanza,walipopitiwa na usingizi wa pombe, tukajichukulia simu zao nne, ki ipod.na kusepa nazo.tukapanda magari ya kuja sirari border hii ilitokea kisii kenya.true story.cheza na mtz wewe.
 
Story yako inafanana yangu. Tofauti ni kuwa yeye ndo alinita bar anayoijua nikamkuta na rafikiye. Nikaagiza kama kichaa. Mtoto alikuwa anamimina heinneken kama maji. Nilipoamka kwenda toilet nikazima twangapepeta yangu, nikapotea... Ile bili sijui alilipaje, atajijua. ila kama ni matusi kwa sms niliyakoga!
 

kipochi manyoya ulifunua?
 

afu unajiona mjanjaaa?!..ukimwi unakujaga kwa style hiyohiyo
 

Hao lazima waliosha vyombo na kubeba viti na meneja akajichagulia wa kwenda nae? Loools, wakome kupenda vya dezodezo!
 
afu unajiona mjanjaaa?!..ukimwi unakujaga kwa style hiyohiyo

Mama Isaack, ukimwi kuupata unajitakia. Kumbuka nilipojua wataniingiza gharama niliwaongezea huduma ya ulabu misosi nikakata. Sasa unadhani mie nililewa? Si ilikuwa payback? Sasa unafanya bure na usivae mfuko wa mchudhi? Haipogo hiyo! Lols, ni ukauzu kwenda mbele!
 

sasa hapo kuna ukauzu gani ulio ufanya,maana kama ni kuliwa umeliwa?
 

kwa hyo mliiba sio?
 
afu unajiona mjanjaaa?!..ukimwi unakujaga kwa style hiyohiyo

Ila umeukubali ukauzu wangu we mama Isaack, mie hupenda kuwazingua wanaokuja kichwakichwa, eti akiona unafunguo inayofanana na ya gari anaanza kukuona wewe wa maana! Huyo dawa yake ni kuwa bandidu tu! Ataisoma namba! Fulu.
 
sasa hapo kuna ukauzu gani ulio ufanya,maana kama ni kuliwa umeliwa?

Senator hujanisoma! Pamoja hela nilikuwa nayo lakini hawakunila sababu niliwaongezea pombe na kupunguza huduma ya misosi so walilewa mapema hawakunipa gharama na bado wakawa consumed at zero cost! Ha ha!
 

ha ha ha! mwanaume shangingi wewe!!
 
acha nitulie tu
maana kichowahi nipata ni aibu to the nth degree
lakini maisha yanasonga, ujana maji ya moto kwa kweli.

Na ndio maana wazee wana ya kusimulia mengi lol

keeping it real is the best!

Aaaaaaah kongoshoo tupe experience yako bwana.. Share with us
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…