Mie niliwahi kumfanyia ukauzu shoree mmoja! Tulisafiri wote toka arusha kuja dar, siku hiyo nilikuwa njema sana nikawa na vikopo vyangu katoni nagonga kiaina wakati wa safari ndani ya dar express. Katika maongezi binti tukabadilishana namba. Baada ya siku tatu demu tukakubaliana tukutane rose garden, lahaula akaibuka na mwenzie, anakunywa pombe kama maji, niliona hapa watanizidi mfukoni nina hela za kutosha ila sikupanga kuhudumia mangurupembe kama yule asha ngedere aliekuja nae. Nilichofanya ili wasinifilisi, NIKAONGEZA HUDUMA YA POMBE NIKAWA NAZIMWAGA MBILI MBILI THEN NIKAPUNGUZA HUDUMA YA CHAKULA, NIKAAGIZA NUSU KUKU, NDIZI MOJA HALAFU TUKASHEA WOTE. Uroho ukawaisha na ishu nikaondoka nayo lile ngurupembe nikamuunganisha msela wangu alikuwa pale akasepa nalo namie huyoooo nikajisunda kimiani. Then kuanzia siku hiyo nikajua demu ni mlupo so huwa kila akipiga namuambia nipo arusha ila nikiwa na hamu nae nampigia najifanya ndo nimekuja dar! Looools!