Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayajakusibu, au yashakusibu unajitutumua mbele ya wakulungwa wenzioHebu msitafute visingizio bwana, mtupatie hela. Mapenzi hayafilisi.
Hakika mkuuHuu uzi unatakiwa Ujae madini sana,ni mzuri kwa vijana pia wajifunze
Kama mapenzi ni hivyo basi bora tuendelee na ngono tuuuHiyo ndio raha ya mapenzi sasa
Akikupenda mama inatosha 😁Kama mapenzi ni hivyo basi bora tuendelee na ngono tuuu
Penzi bila amsha amsha za mapesa ni kama nguo nyeupe iliyofubaa...ifanye tu dekiowadau tuanze kujifunza hapahapa huko mbele tusifanye makosa tena,
tapeli wa kufilisi mitaji na mshahara ana sound kama hivi
😁😁😁 thread ifungweHebu msitafute visingizio bwana, mtupatie hela. Mapenzi hayafilisi.
Sahii kabisa,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nshasema huu ukuda wa kukwanguana hela na watu tumejuana ukubwani hapana[emoji23][emoji23]mda wowote anaamsha aiseeh labda hela zile za ziada ambazo hazina michongo
Kinachotuponza sana siku hizi ni matarajio makubwaSahii kabisa,
Ela ya ziada Haina presha[emoji4]
Hahahaha Laki unasuka kigangoLaki ya kwenda kusuka?!!! anasuka ukoo ama Jumuiya??!!! Mapenzi ya kihindi ukiyaleta bongo lazima ufilisike
pamoja na girfriend/boyfriend situationCha ajabu mke hafilisi, michepuko imefilisi wazee kiuchumi na kiakili.
hahaha never say neverYani mwanamke hawezi kunifilisi kamwe
Hata aniroge mimi na pesa tunaheshimiana sana