Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

Jobless_Billionaire

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2022
Posts
3,106
Reaction score
8,101
Wakuu kwema..

Nimekuja kuamini sometimes expectations zetu ndio hupelekea disappointment. Unaweza kuwekeza muda mwingi, hata budget ili kufukuzia mtoto mkali from the head to the toe ukaweza hata kuwin ila dakika za mwisho ukashindwa kuamini ulichokutana nacho ni kweli au unaota..

Binafsi, kuna binti mmoja nilikutana nae katika kazi mwaka fulani nikiwa mkoa X kwenye project moja hivi ila tukiwa section tofauti. In short ni bidada ambaye ni mzuri sana ana kila sifa ya muonekano kumvutia mwanaume yeyote na kubwa zaidi ana uchumi mzuri. Kiukweli aliweza kutengeneza competition kwa baadhi wa workers ambao walionekana kuwa na interest ya kuwa naye. Naposema ni mzuri, elewa ni mzuri haswa

Miongoni mwao nilikuwemo pia lakini nilijaribu kuwa kwenye kinyang'anyiro kwa siri sana, sikutaka watu wajue. Siku moja nilimfuata tukaongea kidogo kuhusu kazi kisha nikaomba appointment baada ya kazi tukutane tupate kuongea zaidi. Akadai kwa siku hiyo haitowezekana may be uwe siku ingine, nikasema poa.

Baada kama ya siku tatu nikamtokea tena, and this time alinikubalia jioni tukutane. Kweli jioni tulikutana sehemu tukaongea nikamueleza ukweli kuwa nahitaji kuwa nae, nikampa sifa kibao lakini sikupata nilichohitaji kusikia toka kwake. Akaniambia karibia kila mtu anamtongoza hivyo inampa ugumu kufanya maamuzi isitoshe ana mtu wake. Nilikaza sana ila sikufanikiwa lolote. Tukaachana hivyo.

Kazi ikaendelea huku nikiendelea kumsumbua pia. Nilihangaika sana bila mafanikio, wapo waliokata tamaa kwenye mbio hizo ila nilijisemea tu ngoja nikaze nione mwisho wake ni upi. Ilifika time nikajisemea kuanzia leo sitomsumbua sababu nimeshafeli, nikaacha kabisa kumpigia wala kumtext kwa muda kama siku nne hivi.

Siku moja isiyo na jina, ilikuwa weekend mida ya asubuhi nikiwa nimejilaza, kanipigia simu akadai anaomba aje kunitembelea. Sikuamini, mwanzo nikajua labda ni masuala ya kazi tu yanamleta ila sikuwa na uhakika sababu kuna group la Whatsapp na hakukuwa na taarifa, na weekend ni mapumziko.

Kuna chumba cha hotel moja nilichokuwa nikikaa, ikabidi nimwelekeze afike atanikuta nje. Yeye alikuwa hotel tofauti na ile japo si mbali na hapo. Ilikuwa mwendo wa dakika kadhaa tu.

Kweli mtoto akaja, nikamkaribisha huku natabasamu tu pasipo kuwa na uhakika wa kile kilichofanya aje kunitembelea. Tukaongea mawili matatu, nikawa nasubiri aende kwenye point iliyomleta ila nikawa naona anajikanyaga tu, hakuna story ya kueleweka. Kiutu uzima tu nikajiongeza nikagusia suala langu, maana ni muda mrefu sana umepita tangu nilipoanza kumuapproach hadi siku niliyoamua kukata tamaa baada ya kuona nimeshindwa. Hivyo niliomba muafaka wake tu kwa mara ya mwisho ili nipotezee kabisa. Akaanza ooh unajua nilikuwa nakupima, mara sijui nini. Akaniambia sikupaswa kukata tamaa, ningeendelea tu bado ningeshinda. Nikajua huyu kajaa..

Rasmi tukawa free sasa. Akaja kitandani romance zikaanza. Niligundua alikuwa na genye sana maana si kwa fujo zile. Ikafika time za kuchojoa ili show ipigwe, hapo ndio ghasia zilipoanzia. Atmosphere kwa mbaali ikaanza kuchange, ile mbaya ikaanza kutake over ila sikuzingatia saana. Muda wa kupima oil ikazidi. I was really disappointed. I didn't expected a such thing kwa mwanamke kama yule. Sikutaka agundue, ikabidi nipige tu kuua soo. Finally muda ulifika akaondoka.

WEekend iliyofuata pia alikuja, nikawaza ngoja nimwambie tukaoge may be first time ilikuwa ndio sababu Kweli alioga nikaoga pia. Muda wa show hakukuwa na changes zozote. The smell was still there..

SIkuwahi kumfurahia kama nilivyokuwa nafikiri akilini mwangu. Niliangalia namna nzuri ya kumueleza ili asijihisi vibaya but she reacted angrily na kudai nimuache tu kawaida kuliki kutafuta sababu ya kumpiga chini. We ended there. Nilihitaji kumsaidia ili tuenjoy ila hakutaka kukubali. That was the problem

Kwako ilikuwaje?
 
Ungefanya process za ndoa na kumuoa rasmi kisha umsaidie sasa kama kweli ulikuwa upo serious nae naamini ingekuwa rahisi mno kukuelewa ila bila hivyo nadhani bado angehisi hata yeye alikuwa kajaa kwenye mfumo wa hit and run....💥
 
Ungefanya process za ndoa na kumuoa rasmi kisha umsaidie sasa kama kweli ulikuwa upo serious nae naamini ingekuwa rahisi mno kukuelewa ila bila hivyo nadhani bado angehisi hata yeye alikuwa kajaa kwenye mfumo wa hit and run....💥
Mkuu tatizo hakutaka kukubali. Yaani unatumia lugha polite na friendly kabisa ila reaction yake sasa
 
Mkuu tatizo hakutaka kukubali. Yaani unatumia lugha polite na friendly kabisa ila reaction yake sasa
Kwasababu hayo mambo yanataka sana mtu muelewa tena sana hivi unahisikiaje mwanamke anakwambia kistaarabu tu mi huwa hata huniridhishi nafanya kama kukusaidia tu wewe inahitaji busara sana kuipokea hiyo hali na kujua nini ufanye.
 
Kwasababu hayo mambo yanataka sana mtu muelewa tena sana hivi unahisikiaje mwanamke anakwambia kistaarabu tu mi huwa hata huniridhishi nafanya kama kukusaidia tu wewe inahitaji busara sana kuipokea hiyo hali na kujua nini ufanye.
Exactly, watu tunapaswa kujifunza kukubali ukweli. It pains lakini ndio mwanzo wa suluhisho. Tusipende kuchukulia kila jambo tunaloelezwa kama vile tupo attacked
 
Wakuu kwema..

Nimekuja kuamini sometimes expectations zetu ndio hupelekea disappointment. Unaweza kuwekeza muda mwingi, hata budget ili kufukuzia mtoto mkali from the head to the toe ukaweza hata kuwin ila dakika za mwisho ukashindwa kuamini ulichokutana nacho ni kweli au unaota..

Binafsi, kuna binti mmoja nilikutana nae katika kazi mwaka fulani nikiwa mkoa X kwenye project moja hivi ila tukiwa section tofauti. In short ni bidada ambaye ni mzuri sana ana kila sifa ya muonekano kumvutia mwanaume yeyote na kubwa zaidi ana uchumi mzuri. Kiukweli aliweza kutengeneza competition kwa baadhi wa workers ambao walionekana kuwa na interest ya kuwa naye. Naposema ni mzuri, elewa ni mzuri haswa

Miongoni mwao nilikuwemo pia lakini nilijaribu kuwa kwenye kinyang'anyiro kwa siri sana, sikutaka watu wajue. Siku moja nilimfuata tukaongea kidogo kuhusu kazi kisha nikaomba appointment baada ya kazi tukutane tupate kuongea zaidi. Akadai kwa siku hiyo haitowezekana may be uwe siku ingine, nikasema poa.

Baada kama ya siku tatu nikamtokea tena, and this time alinikubalia jioni tukutane. Kweli jioni tulikutana sehemu tukaongea nikamueleza ukweli kuwa nahitaji kuwa nae, nikampa sifa kibao lakini sikupata nilichohitaji kusikia toka kwake. Akaniambia karibia kila mtu anamtongoza hivyo inampa ugumu kufanya maamuzi isitoshe ana mtu wake. Nilikaza sana ila sikufanikiwa lolote. Tukaachana hivyo.

Kazi ikaendelea huku nikiendelea kumsumbua pia. Nilihangaika sana bila mafanikio, wapo waliokata tamaa kwenye mbio hizo ila nilijisemea tu ngoja nikaze nione mwisho wake ni upi. Ilifika time nikajisemea kuanzia leo sitomsumbua sababu nimeshafeli, nikaacha kabisa kumpigia wala kumtext kwa muda kama siku nne hivi.

Siku moja isiyo na jina, ilikuwa weekend mida ya asubuhi nikiwa nimejilaza, kanipigia simu akadai anaomba aje kunitembelea. Sikuamini, mwanzo nikajua labda ni masuala ya kazi tu yanamleta ila sikuwa na uhakika sababu kuna group la Whatsapp na hakukuwa na taarifa, na weekend ni mapumziko.

Kuna chumba cha hotel moja nilichokuwa nikikaa, ikabidi nimwelekeze afike atanikuta nje. Yeye alikuwa hotel tofauti na ile japo si mbali na hapo. Ilikuwa mwendo wa dakika kadhaa tu.

Kweli mtoto akaja, nikamkaribisha huku natabasamu tu pasipo kuwa na uhakika wa kile kilichofanya aje kunitembelea. Tukaongea mawili matatu, nikawa nasubiri aende kwenye point iliyomleta ila nikawa naona anajikanyaga tu, hakuna story ya kueleweka. Kiutu uzima tu nikajiongeza nikagusia suala langu, maana ni muda mrefu sana umepita tangu nilipoanza kumuapproach hadi siku niliyoamua kukata tamaa baada ya kuona nimeshindwa. Hivyo niliomba muafaka wake tu kwa mara ya mwisho ili nipotezee kabisa. Akaanza ooh unajua nilikuwa nakupima, mara sijui nini. Akaniambia sikupaswa kukata tamaa, ningeendelea tu bado ningeshinda. Nikajua huyu kajaa..

Rasmi tukawa free sasa. Akaja kitandani romance zikaanza. Niligundua alikuwa na genye sana maana si kwa fujo zile. Ikafika time za kuchojoa ili show ipigwe, hapo ndio ghasia zilipoanzia. Atmosphere kwa mbaali ikaanza kuchange, ile mbaya ikaanza kutake over ila sikuzingatia saana. Muda wa kupima oil ikazidi. I was really disappointed. I didn't expected a such thing kwa mwanamke kama yule. Sikutaka agundue, ikabidi nipige tu kuua soo. Finally muda ulifika akaondoka.

WEekend iliyofuata pia alikuja, nikawaza ngoja nimwambie tukaoge may be first time ilikuwa ndio sababu Kweli alioga nikaoga pia. Muda wa show hakukuwa na changes zozote. The smell was still there..

SIkuwahi kumfurahia kama nilivyokuwa nafikiri akilini mwangu. Niliangalia namna nzuri ya kumueleza ili asijihisi vibaya but she reacted angrily na kudai nimuache tu kawaida kuliki kutafuta sababu ya kumpiga chini. We ended there. Nilihitaji kumsaidia ili tuenjoy ila hakutaka kukubali. That was the problem

Kwako ilikuwaje?
Ccm inanukaga sana
 
Back
Top Bottom